Bila shaka wote muwazima wa afya.
Leo imekuwa Siku trick sana kwangu mpenzi wangu ambaye tunaitana mke na mme kwa miaka mitatu sasa. Anataka niweke neno nakupenda mume wangu katika status yangu WhatsApp jambo ambalo limezua mzozo kati yetu.
Mimi sitaki kuweka kwa kuwa yeye so mume wangu bado...
Bila shaka wote mpo sawa,kama kuna mgonjwa basi namwombea heri awe sawa.
Ni hivi baada ya kuwaza sana nikafikia uauzi wa kumuacha so kwakutaka Bali kwa kuepuka lawama yakuharibu ndoa yake ingawa nilikuwa tayali kuwa mke wapili,sasa roho inaniuma kiasi kwamba najikuta sijiekewi kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.