CCM mnahubiri juu ya reconcilliation. Kwa kizungu ni maridhiano.
Maridhiano hufanyika baadsa ya pande mmoja kudhulumu pande nyingine. Hass kwa kufanya mauaji na utekaji kama kule Afrika ya kusini.
Kwa hapa Tanzania CCM wanataka maridhiano kwa sababu zipi?
Mheshimiwa Katambi kuwa serious basi. Maana mpaka sasa nchi inatishio la ugaidi.Ndio maana kuna watu 130 wapo mahabusu na kesi za ugaidi zinarindima mahakamani
Ungekuwa unajitambua kiakili. Mbona tangia uelekeze juu ya uslamu na wapigania uhuru wa Tanganyika. Hakuna mwana Tanu au MwanaCCM anayekukubali. Historia yako ni tofauti ya Tanu na CCM.
Michango ya tonetone ambayo kwa sasa inakaribia kufika mil 350 ni ushahidi kuwa Watanzania hawaitaki tena CCM.
Watanzania tupambane kupata katiba mpya kama alivyotushauri Judas of CCM
Hapo ndipo tutapata tume huru ya uchaguzi.
Nimeshangazwa sana na kauli ya Mwigulu Nchemba (PM) kuwa wanaChadema wanafanya harakati na kutukaa viongozi.
Ameenda mbali na kudai huko nyuma Chadema walikuwa wakimtukana hayati JPM
Napolingana na hii hoja maana viongozi wa Chadema wanaeleza kwa hoja namna CCM inavyotumika kitafuna pesa za...
Kama kuna siku Pascal Mayalla ameongea upuuzi na ujinga ni leo. Pumbavu kabisa. Eti uchaguzi ukaendelea. Pumbavu kabisa wewe mwandishi wa habari uchwara na kada wa CCM.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.