Diwani wa kata ya Mbingu Halmashauri ya Mlimba Nestory Peter (mwenye shati jeupe) na wenzake 10 wakiwa kwenye gari la polisi wakipelekwa katika mahakama ya Wilaya ya Kilombero kujibu shtaka la kuingia ndani ya hifadhi ya msitu wa asili wa KNR na kufanya shughuli za kibinadamu.
Diwani wa kata ya...
Rorya. Watoto wanne kati ya sita waliofariki dunia baada ya kuzama na kunasa kwenye tope katika bwawa la skimu ya umwagiliaji, Kijiji cha Ochuna wilayani Rorya, Mkoa wa Mara, wamezikwa kwenye eneo la pamoja katika kijiji hicho cha Ochuna.
Hata hivyo, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Ochuna...
Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ikiongozwa na Kamishna Nyanda Josiah Shuli leo Agosti 27, 2024 wamekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa Chama John Mnyika Makao Makuu ya Chadema yaliyopo Mikocheni, Dar Es salaam.
Agenda kuu ya mazungumzo ikiwa tukio la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.