Recent content by Kamanda Asiyechoka

  1. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Kama taifa letu linahitaji maridhiano. CCM wameidhulumu nini CHADEMA? Maridhiano sio ngonjera

    CCM mnahubiri juu ya reconcilliation. Kwa kizungu ni maridhiano. Maridhiano hufanyika baadsa ya pande mmoja kudhulumu pande nyingine. Hass kwa kufanya mauaji na utekaji kama kule Afrika ya kusini. Kwa hapa Tanzania CCM wanataka maridhiano kwa sababu zipi?
  2. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Tanzania yaipigia magoti Marekani yaomba iondolewe vikwazo vya visa na vya kiuchumi

    Mliwabeza kuwa hawana lolote.👇 Leo mmeomba po dah!
  3. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Katambi: Tanzania hakuna Ugaidi, kunaweza kuwa na viashiria

    Mheshimiwa Katambi kuwa serious basi. Maana mpaka sasa nchi inatishio la ugaidi.Ndio maana kuna watu 130 wapo mahabusu na kesi za ugaidi zinarindima mahakamani
  4. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Propaganda: KItabu Cha Abdul Sykes Kinauzwa Misikitini

    Ungekuwa unajitambua kiakili. Mbona tangia uelekeze juu ya uslamu na wapigania uhuru wa Tanganyika. Hakuna mwana Tanu au MwanaCCM anayekukubali. Historia yako ni tofauti ya Tanu na CCM.
  5. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Kama kuna tume huru ya uchaguzi, CCM haiwezi kuishinda CHADEMA. Michango ya tonetone ni uthibitisho kamili

    CCM mlichangiwa bil 100 na mafisadi na bado Oktoba 29 mkaua watu ili mkae madarakani
  6. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Propaganda: KItabu Cha Abdul Sykes Kinauzwa Misikitini

    Paper ni mawazo ya mtu tu.
  7. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Kama kuna tume huru ya uchaguzi, CCM haiwezi kuishinda CHADEMA. Michango ya tonetone ni uthibitisho kamili

    Michango ya tonetone ambayo kwa sasa inakaribia kufika mil 350 ni ushahidi kuwa Watanzania hawaitaki tena CCM. Watanzania tupambane kupata katiba mpya kama alivyotushauri Judas of CCM Hapo ndipo tutapata tume huru ya uchaguzi.
  8. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Propaganda: KItabu Cha Abdul Sykes Kinauzwa Misikitini

    We mzee acha uongo.
  9. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Hakuna mahala Kiongozi wa CHADEMA ametukana . Wanachofanya ni kuuleza umma wa Watanzania namna taifa lao linavyoporwa na wanaCCM wachache

    Nimeshangazwa sana na kauli ya Mwigulu Nchemba (PM) kuwa wanaChadema wanafanya harakati na kutukaa viongozi. Ameenda mbali na kudai huko nyuma Chadema walikuwa wakimtukana hayati JPM Napolingana na hii hoja maana viongozi wa Chadema wanaeleza kwa hoja namna CCM inavyotumika kitafuna pesa za...
  10. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania Said Issa Mohamed aliyeishtaki CHADEMA atimuliwa rasmi Uanachama kwenye chama hicho

    Mpumbavu sana huyu kibaraka wa CCM
  11. Kamanda Asiyechoka

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Pascal Mayalla: Oktoba 29 vyombo vya dola vilikuwa havina namna, risasi za moto zilitumika kutuliza zile vurugu

    Kama kuna siku Pascal Mayalla ameongea upuuzi na ujinga ni leo. Pumbavu kabisa. Eti uchaguzi ukaendelea. Pumbavu kabisa wewe mwandishi wa habari uchwara na kada wa CCM.
Back
Top Bottom