Recent content by Kamanda Asiyechoka

  1. Kamanda Asiyechoka

    Diwani wa CCM apandishwa kizimbani kwa kuingia hifadhi Kilombero

    Diwani wa kata ya Mbingu Halmashauri ya Mlimba Nestory Peter (mwenye shati jeupe) na wenzake 10 wakiwa kwenye gari la polisi wakipelekwa katika mahakama ya Wilaya ya Kilombero kujibu shtaka la kuingia ndani ya hifadhi ya msitu wa asili wa KNR na kufanya shughuli za kibinadamu. Diwani wa kata ya...
  2. Kamanda Asiyechoka

    Mwalimu mkuu ataja sababu vifo vya watoto sita bwawani, wanne wakizikwa

    Rorya. Watoto wanne kati ya sita waliofariki dunia baada ya kuzama na kunasa kwenye tope katika bwawa la skimu ya umwagiliaji, Kijiji cha Ochuna wilayani Rorya, Mkoa wa Mara, wamezikwa kwenye eneo la pamoja katika kijiji hicho cha Ochuna. Hata hivyo, Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Ochuna...
  3. Kamanda Asiyechoka

    Majirani wameamriwa na Mahakama wamlipe jamaa Tsh. 500

    Hakuna amri ya mahakama ya 2 weeks. Tapeli wewe.
  4. Kamanda Asiyechoka

    PreGE2025 Tume ya Haki Jinai yakutana na Viongozi wa Chadema Makao Makuu Mikocheni

    Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora ikiongozwa na Kamishna Nyanda Josiah Shuli leo Agosti 27, 2024 wamekutana na Mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe na Katibu Mkuu wa Chama John Mnyika Makao Makuu ya Chadema yaliyopo Mikocheni, Dar Es salaam. Agenda kuu ya mazungumzo ikiwa tukio la...
  5. Kamanda Asiyechoka

    Jalada la Afande lafikishwa kwa Dpp. Je, ataburutwa mahakani?

    Nani kakuuliza? Toa uCCM wako hapa
  6. Kamanda Asiyechoka

    Yanayojiri kesi ya "Binti wa Yombo": Daktari aliyempima Binti aliyebakwa na Maafisa wa Jeshi atoa ushahidi Mahakamani

    Mhanga wa ubakaji anatakiwa kupimwa masaa yasizidi 12 baada ya tukio. Miezi mitatu baada ya Makanda wa Chadema kuibua huu uovu Daktari anapima nini?
Back
Top Bottom