Wala sijalazimishwa ila unazani kwanini Serikali huwa inapeleka maafisa wakaguzi kwenye mashirika?!! Ni kwasababu ya kuzingatia haki ya mfanya kazi haijalishi kuwa mfanya kazi mwenyewe aliitaka ile kazi mwenyewe au laa. Na ndio mana kuna Human resource management(HR) Huyu moja ya kazi zake ni...
Umoja huu lengo ni kutokuminywa na bolt pale tunapoona tunamwinywa hivyo hata kupandisha viwango vya hela ni sehemu moja wapo ya kulilia hiyo haki kwenye group hili
Madereva wa Bolt wote hapa Tanzania kuna haja ya kuunda umoja wetu ili nasi kwa pamoja tusikilizwe changamoto zetu maana changamoto tunazopitia ni nyingi ila tunashindwa kupewa kipaumbele kwasababu hakuna anaepaza sauti kuhusu hizo changamoto.
Changamoto hizo ni kama:
(1)Kiukweli Bolt inampa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.