Umepima choo kama una bacteria (h pylori )??
Unatumia vyakula gani kwa wingi maana vyakula vinavoleta tatizo ilo ni maharage, dagaa, pilipili, machungwa , nanasi, vipolo ambavo havijachemshwa .
Umetumia dawa ipi na kwa mda gani??, na je ilikusaidia ama hukupata nafuu kabisa??
Harafu maumivu ya...