hayo maeneo uliyo yataja ndio kasora au, sijakupata badoMwili mzima..kasoro uso
Mgongoni...mapajani mikononi kufunani na tumboni
Inakera sana.....Mimi pia ilishawahi kunitokea hio hali zaidi mara mbili , nilikuwa napata muwasho sometime kama kuchoma choma .
Sijawah kutumia dawa mara zote hizo ilikuwa inapotea yenyewe ,na sijawah kujuaga shida nini hadi leo.
Tumia mafuta aya baada ya kuoga, yanaondoa muwasho.Habari wakuu
Nikama miezi miwili hivi nawashwa sana
nikimaliza kuoga.
Naweza kaa nusu saa nzima najikuna hii inaweza kuwa inasababishwa na nini?
Natiba yake ni nini?
Umelipia tangazo!!??Tumia mafuta aya baada ya kuoga, yanaondoa muwasho.
View attachment 2596822
Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app