Recent content by Kama Pelle

  1. Kama Pelle

    Niliwaeleza baadhi ya wabunge CHADEMA hawarudi Bungeni mkabeza!

    "Wule wuseni wusemao tulia dawa ikuingia sindano ya matakoni wunakuhusu asilimiya 100 ng'wanawane. Kudadadek mwavejo si tunakhandamijza tu!"
  2. Kama Pelle

    Niliwaeleza baadhi ya wabunge CHADEMA hawarudi Bungeni mkabeza!

    Uwe na japo tone la aibu wewe. Kabisaa umemuona Janeth mtu wa kuweza kuwa mbunge? Udiwani wa kata tu ulimshinda vibaya sana. Acha vichekesho wewe, wenzio akina Mpoki kuchekesha ni ajira wewe unachekesha bure. Janeth hata angekuwa mgombea pekee katika mfumo wa NDIYO au HAPANA asingeshinda.
  3. Kama Pelle

    Mganga wa kienyeji amtisha mgombea urais

    Kati ya Lowassa na Pombe nani ana skendo nyingi za ufisadi? Lowassa anayo moja tu ambayo uhusika wake ni wa kuungwa ungwa wakati Magufuli anazo 4 ambazo uhusika wake umethibitishwa. Au na wewe upo kwenye pay roll ya Lumumba?
  4. Kama Pelle

    Mganga wa kienyeji amtisha mgombea urais

    Mwaka huu ch*pi zitawabana sana. Mtakodi machizi wa kila aina na mtajishaua na kila aina ya propaganda lakini UKAWA IPO PALE PALE, nginja nginja mpaka Magogoni.
  5. Kama Pelle

    Mwandishi wa gazeti la Uhuru akamatwa akiratibu maandamano feki ya CHADEMA

    Inaonesha umechoooka sana na umekata tamaa kabisa. Eeeh ehee he he heeeh!
  6. Kama Pelle

    Mwandishi wa gazeti la Uhuru akamatwa akiratibu maandamano feki ya CHADEMA

    Kutokuweka maelezo mafupi ndio ulofa? Mbumbumbu wewe. Umbumbumbu, ujinga, upumbavu, ulofa, ubwege ulio nao ni matunda ya kutawaliwa na CCM. [Najua sana sana una uwezo wa kubadili mboga halafu umemudu kununua hicho ki-TECNO unachotumia kupost taka mwili zako humu basi ushakuwa kero unajiona una...
  7. Kama Pelle

    Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

    Kubali tu majibu huna...
  8. Kama Pelle

    Tahadhari kwa waumini wa Gwajima

    Dk Slaa ambaye naye umemuita icon ya taifa alikurupuka, akamshambulia na kumkejeli Gwajima hadharani. Mbona humuongelei? Wewe umenuona Gwajima wengine huoni???
  9. Kama Pelle

    Kafulila aishambulia ACT-Wazalendo Kasulu; asema Machali ana tatizo kichwani

    Zitto anauwezo Mkubwa sana kichwani na ndio maana wabunge wengne hasa Wa upinzani humuonea wivu na kumuona kama vile anamajivuno,hata darasani Mara nyingi wale wanafunzi mambumbumbu wanakuwa na wivu kwa yule anayeshika namba moja,ktk hali ya kawaida huwezi kufananisha uwezo Wa kafulila kwa MTU...
  10. Kama Pelle

    Barua kwako dada Josephine Mushumbusi

    Josephine na Gwajima nani amewadhalilisha wanawake? Unataka kusema wanawake wana haki ya kuwa madikteta kwa waume zao kama alivyo Josephine?
  11. Kama Pelle

    Nakusudia kumshitaki GWAJIMA kwa kutengeneza ujumbe fake wa kumkashifu Dr. Slaa

    Nenda kwa hasara mwenzako Dk. Slaa akupe ushauri. Lakini pitia kwa Bi Josephine atoe ruhusa usije ukamponza tena akalala nje.
  12. Kama Pelle

    Nakusudia kumshitaki GWAJIMA kwa kutengeneza ujumbe fake wa kumkashifu Dr. Slaa

    Inaonekana wewe injini nyuma kabisa. Ubongo upo miguuni.
  13. Kama Pelle

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Kama alivyokosea Samson kwa Delila. Matokeo yake ilikula kwake vibaya sana.
  14. Kama Pelle

    Askofu Josephat Gwajima amjibu Dr. Slaa

    Weledi wa kujenga hoja gani unauzungumzia? Hoja za kumridhisha kimada Bi. Mushumbusi?
Back
Top Bottom