Tumelipia gharama ya kufungiwa maji toka mwezi uliopita tukaambiwa tutafungiwa huduma ya maji baada ya wiki mbili. Mpaka sasa mwezi unakaribia kuisha. Ukienda kufatilia wengine wanatoa majibu ya ovyo, wengine wanadai vifaa vinapangwa, wakati mwingine wanasema hawana mita. Tuamini lipi. Punguzeni...
CHADEMA tafuta mgombea mpya kabisa, hawa wote hawana jipya mbele ya wananchi wa Bukoba. Kiujumla jimbo halina mgombea na mkizembea CCM wanabeba tena kwa sababu Bukoba hatuchagui chama ila Tunachagua mtu
Ziara ya KINANA na NAPE mjini Bukoba tulidhani wanakuja kutuelezea namna ya upatikanaji wa meli mpya tuliyoahidiwa kwenye uchaguzi wa mwaka 2010.
Walichokisema nikianza na NAPE, "... mtoto wenu LWAKATARE anafadhiri kikosi cha vijana wanaojifunza ugaidi". Kwa hili si hitaji la wanabukoba...
M/kiti wa CHADEMA wilaya Bukoba mjini amefungua matawi 8 ktk kata KITENDAGURO ambapo kadi za CCM 1931 zimekusanywa na wanachama hao wamepewa kadi za CHADEMA. Mtaa uliokusanya kadi nyingi ni mtaa BUGAMBAKAMO ambao SAMWEL LUHANGISA aliutumia kama ngome
Rais wetu ana mzaa mwingi, meya na mbunge hawaelewani kabisa, yaani mgogoro walionao ni zaid ya maji na mafuta hata wananch wengine wameenda mbali zaid wakauhusisha na udini, bas kama majib ya rais yako hivyo itatokea vita zaid ya ile ya idd Amin
Kila wilaya za mkoa wa KAGERA alikoenda JK, wakurugenzi wa wilaya waliwarazimisha wakuu wa shule kufunga shule na wanafunz wote waende kumpokea rais, shule zote zinafungwa saa nne asubuh. Hivyo wanafunzi ndio wanaohudhuria na baadh ya wafuasi wa ccm
Hata walimu walitumiwa taarifa na mkurugenzi kuwa rocoo itaitwa kaitaba kwa watakaokaidi amri hatua zitachukuliwa dhidi yao ndo maana walimu wameruhusu wanafunz tu na wachach ambao nafikri vyet sio vyao ndo walienda
Hizo ni laana za kuchakachua kura za RWAKATARE mwaka 2005, eti HAMIS alishinda kwa tofauti y kura 100 kutoka KATA YA BUHEMBE. Sasa watusaidie hata kumtaja aliyechakachua hizo kura za CUF na kuipa NYINYIEMU ushindi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.