nilidhani una sabbu za msingi,lakini kinachoonekana ni chuki na roho mbaya tu brother,baba wa RIDHIWANI kuwa Rais wa Tanzania haiwezi kuwa sifa ya Ridhiwani kupoteza haki yake ya kutumikia watnzania,jaribuni kufikir na nje ya box pia,wamarekani wangekuwa na akili mbaya kama ya kwako leo mke wa...
mbowe alizunguka na chopa akapata kura laki 6.
wakati huo chama chake kikiwa na zaidi ya miaka 12!
ACT WAZALENDO wamezunguka kwa magari wamepata kura ambazo hazijafika laki moja na chama kikiwa na zaidi ya mwaka 1.
wamevuna mbunge mmoja na madiwani 52 nchi nzima
ni hatua kubwa sana kisiasa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.