Hawa ccm walivyokuwavilaza hawana hata habari kuwa kuna wagombea wao waliowapendekeza kama watano hivi ni FREEMASONS!! Hii wala sio tetesi ni fact.Wanaiuza nchi bila kujua kwa njaa yao.
Akitubu na kurudisha angalau fedha alizokomba za Richmond pengine anaweza kusamehewa na wananchi na baadae kumfikiria kumuajili pale magogoni bila hivyo hii ccm mafia itammaliza kabla ya siku zake!!!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.