Recent content by Kalundi

  1. K

    Mgombea W. Malecela aendelee kufundwa!

    Ingefaa umuite nyumbani umfunde!
  2. K

    Chama cha ADC chapata usajili wa muda

    Hii ni ishara ya watu kuwa na njaa kali kwa wao kuanzisha chama ni kujitengenezea ajira hivyo kufuata ruzuku na sio kuwatetea wananchi!
  3. K

    Nipo tayari kwa mapambano

    Hawa ccm walivyokuwavilaza hawana hata habari kuwa kuna wagombea wao waliowapendekeza kama watano hivi ni FREEMASONS!! Hii wala sio tetesi ni fact.Wanaiuza nchi bila kujua kwa njaa yao.
  4. K

    Nipo tayari kwa mapambano

    Akitubu na kurudisha angalau fedha alizokomba za Richmond pengine anaweza kusamehewa na wananchi na baadae kumfikiria kumuajili pale magogoni bila hivyo hii ccm mafia itammaliza kabla ya siku zake!!!!
Back
Top Bottom