siwezi sikiliza kipindi ambacho mzungumzaji alishajipambanua upande wake. nivema chanel ten wawe wanatafuta watu wenye mawazo/fikira huru katika kutowa mada sio mtu mwenye mlengo unao fahamika. ama wapambanishe watu wenye mlengo tofauti hapo balancing yaweza kuwa nzuri.
HP nilizani nimchambuzi huru kumbe naye anaupande! Hivi anataka kuaminisha watu ukituhumiwa tu huna haki ya kupewa nafasi kama ni hivyo basi hatuna wagombea wasio na tuhuma kwani kila mmoja anatuhumiwa lakini hakuna justification ya tuhuma zao.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.