mimi ni mwalimu Angelina Simwanza Natafuta mwalimu wa kubadilishana nae,
yeye adje Mtwara wilaya ya Tandahimba Mjini shule ya msingi Amani awe ni mwalimu aliyetoka wilaya ya KAHAMA mkoa wa SHINYANGA namba zangu za simu ni 0769 424 698.
iwapo utakua namfahamu mtu anaetaka kuja mtwara...
kwa mtu yeyoye ambae anauza video kamera yeyote yenye vigezo vyote na HD Nanunua. Ningepata CANON ingekua bora zaid au aina yoyote ambayo iko poa nahitaji
kwa mawasiliano zaidi kama unayo nicheki kwa
whatsp 0717287262
call 0784287262
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.