Nishakuelewa unacho zungumzia lakini hoja yangu ni kwamba hatuna haja ya kumlaumu Mungu. Issue ya msingi hapa lazima tujue dunia haitakaa itulie. Lakini tukitoka kwenye Mambo ya siasa solution nipaka Yesu anakuja. Maana mgombanishi ni shetwani na Yuko duniani.
Am mkuu Kuna watu wanaitafri haki vibaya. Nimeona mburula moja humu eti Gadaffi kuwasaidia vile wananchi wake vile eti alikua anawahonga ili afanye yake. Kwaio saizi ndio wanapata haki?
Mkuu haya ndio madhara ya kushabikia siasa bila kumuelewa. Hivi saizi wanatafuta hadi kaburi la Gadaf wakaombe msamaha hawalioni. Japo family yake haiwezekani. Watasubili Sana, mpaka kiama.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.