Nimekua nikitoa machozi kila mstali niliousoma hivi Tanzania tumefikia hapo. Mwigamba Tanzania wanaofanya kazi ni waandishi wa habaritu na Mungu analijua Atakupiogania na utashinda tu serikari dhalimu haidumu hata
aha wapi atakua si mtu makini afukuzwe saa tano usiku asubuhi amepata chama, amefikiri saa ngapi na nini kilimtoa chadema. Sasa atakua anatapatapa anahitaji muda Asubili CUf wamtose Hamadi kasema ataunda chama aende huko Peoples Power si wakuwachezea hawawezi kukubali kirahisi hivyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.