Najihisi kuropoka nikishakunywa Windhoek[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] Maana ile dollar 1000 ilitakiwa itumwe Bukoba kumalizia ujenzi wa kibanda chetu...
Tuhuma tu, tena tuhuma Tanzania, Huyu anayetuhumu naye anatuhumiwa, Hata nyerere angekuwepo hawa watu wanatuhumu watu wangeombwa ushahidi......
Taja tuhuma moja ambayo imethibitika kweli kama cyo kujipatia umaarufu wa kisiasa na wivu wakitoto...watanzania tumekuwa wepesi wa kutuhumu....hata...
Pole sana kwa hili lililokupata, ni mitihani katika maisha.
Mimi napenda nikushauli mambo yafuatayo
1. Maamuzi ya Maisha yako unayo wewe.
2.Umekuwa katika mahusiano kwa miaka minne hajakuambia, hii inakufundisha Mambo makubwa mawili a) Mpenzi wako anakupenda sana hivyo alihisi angekuambia...
Collective Responsibility is not always collective agreement....
Mfumo wa chama kimoja...
Mchakato wa katiba...
Kung'atuka kwa mwalimu
Mchakato wa Bima ya afya-USA
Fanya reference kisha njoo na collective responsibility yako ambayo huwa haipo isipokuwa kwenye vitabu.
Cardinal Pengo, Kuna watu wanajua imani yako, wanajua uadilifu wako na wanafahamu vizuri kwamba kazi yako unayoifanya haitangamani na upande wowote.....
Najua vizuri wanaokusakama hawana jambo jipya zaidi ya kusukumwa na hisia binafsi hata bila kuangalia uzito wa Yale uyasemayo...
That is the truth the people don't want to keep their eyes on....
Collective responsibility is not always collective agreement.....very perfect.... Eti kikundi cha watu kikikosea na mimi nifiche akili na utashi wangu kwa maslahi mapana ya taifa nikae kwenye mwamvuli wa collective...
Collective responsibility peleka kwenye chama na Serikali, Siyo kanisani......Sheria ipi katika kanisa kunakoonekana collective responsibility unayoitaka?
Acha kuchanganya dini na siasa....kwenye siasa ndo kuna mambo ya samaki moja akioza wote wanaoza, Kanisani hakuna hicho, Kuna individual...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.