Ishu hapo si kufanya kazi kwa mengi usiwe mbinafsi kiasi ambacho unatupotosha shida hapo ni takwimu za uongo za Anaejiita Prof mwanasayansi tangu anaumbwa hiyo ndo sayansi gani Kama Watu watatu wanamiliki eneo lenye ukubwa wa dar 3 na Yule wakwanza kwa hesabu nyepesi ni Dar 10 na wapili Dar 7...
Prof Muhongo kadanganya Umma wa tanzania na dunia kwa kusema yeye ni mtu wa facts and figure wakati figure alizozitoa ni uongo mkubwa Sana tunamuuliza ikiwa mengi Ana eneo la ukubwa wa Dar tatu kwakuwa na Yule wa kwanza na wa pili ni Dar ngapi Kama si 10 na wa pili Dar 7 jumla ni dar 20 kwa Watu...
Nadhani Kama una milioni moja unaweza anza viatu na Hizo Nguo kwa Nairobi kuna viatu vya mtumba bei ya chini pale Gikombaa unaeza elekezwa namna ya kupata mzigo kwa singida kuna gari la moja kwa moja Hadi Nairobi kupitia Arusha.
Suala hapa si kujitoa lazima tuelewe katiba ya cdm vizuri na lazima democrasia itawale kuliko ushabiki ambao hautasaidia sana kuleta mapinduzi ya kifikra.jamani wanajamii forum wengi wanahoja nzuri Sana tatizo tutapoweka ushabiki wa ukanda ukabila na udini Chadema itakufa siku si nyingi naamini...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.