Lowassa anahukumiwa na Historia ya kutokuwa na Mahusiano mazuri na Familia ya Mwalimu Nyerere. Lowassa hajawahi kufika Butiama Tangu Mwalimu afariki.
Lowassa hakuhudhuria Msiba wa Baba wa Taifa. Ni Mgombea pekee wa Urais ambaye hajui kaburi la Baba wa Taifa liko wapi.
Inasemekana...
Mbona umekuwa mkali sana wewe ni mjumbe wa NEC uliyesafirishwa na Lowasa?
Habari ya simiyu ngosha, usisahau kununua godoro na Baskeli.
Ukirudi msalimie Nyoka wa Makengeza mla rushwa.
Unashangaa hizo, mbona hushangai Zali all white party imeingiza sh. Ngapi kwa siku moja.
Hata hivyo pesa za wizi hazina idadi halafu haziumi.
Wana CCM wananunuliwa kama mafungu ya nyanya.
Hovyo kabisa.
Hali yake imeripotiwa kubadilika na kuleta mshituko mkubwa. Na sasa yuko Kliniki Ujerumani. Hii ni baada ya kutembea mwendo mrefu. Kila kitu kimefanywa siri.
Habari hii ililetwa hapa jukwaani lakini Mods wakaifuta, ukweli una tabia ya kujifunua.
Pole komred Lowasa.
Hali ya Afya ya Edward Lowassa imeripotiwa leo kuwa imebadilika ghafla na kuitia hofu kubwa familia.
Watu wa karibu na Mwanasiasa huyo wameshauriana na daktari wake pamoja na familia kumtaka Mkuu huyo kuhudhuria kliniki yake ya Ujerumani kwa matibabu zaidi.
Haijafahamika Mara moja nini chanzo...
Acha wivu,Mawaziri wangapi wanaenda Ulaya na America kubembea? Wengine wanaenda na Wasnii wa Bongo Fleva wamenegotiate na kufanikisha jambo gani?
Huyu Bwana Waziri yuko Vizuri mnoo!
Acha wivu,Mawaziri wangapi wanaenda Ulaya na America kubembea? Wengine wanaenda na Wasnii wa Bongo Fleva wamenegotiate na kufanikisha jambo gani?
Huyu Bwana Waziri yuko Vizuri mnoo!
Waziri wa Kilimo,Chakula na Ushirika Stephen Wasira, siku ya jana tarehe 17/04/2015 alikuwa na Kikao na Uongozi wa Chuo kikuu cha Warsaw cha Sayansi ya Kilimo jijini Warsaw Poland (Warsaw University of Life Sciences) mkutano ulilenga kuona uwezekano wa kuanzisha ushirikiano wa Vyuo vya Kilimo...
Wakati mwingine tuwe tunajadili mambo yaliyofanyiwa uchunguzi.
Hii ni saw na ile ya Mengi kurukia gazeti la Udaku kuwa Zitto kamwambia JK "atamshughulikia" Nchi hii pasua kichwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.