Utaimba sana wimbo huyo bila ya kuelewa maana yake ni nini!
Wewe hujaona watu wakitoana roho kwa jina la siasa? Kuna uadui zaiidi ya hapo?
Huo msemo hauna maana yoyote katika mazingira yetu katika maeneo haya ya dunia.
EeeeeenHeeee!
Kila nikiiona picha hii, inanisikitisha sana!
Watu kama hawa, leo hii wapo wengi zaidi kuliko wakati ule.
Hata humu JF, utawasoma tu, jinsi wanavyomzonga mkuu Erythro., katika picha ni kama huyo jamaa wa CHADEMA, na hao wengine wenye magwanda, sasa wapo kama utitiri humu ndani...
Samia siyo kiongozi mwenye kujali maslahi ya Tanzania.
Hata akiigiza ionekane kuwa ni kiongozi anayyewajali waTanzania, itaonekana tu kwamba anaigiza!
Wanachoweza kufanya waTanzania kwa watu hawa wasiokuwa na uchungu na nchi hii na watu wake, ni kuwatapisha mali zote watakazokuwa...
Well, the entire thing reads like a "sponsored" masterpiece!
However, there's hardly a thing that is surprising, something new discovery, after all the relationship history between the two countries is well known.
Hard to believe, the writer is someone from Kenya. Sounds like an inside job...
Hiki ndicho kinachonizungusha akili nionekane kama hayawani wakati mwingine.
Chama cha Ushirika, kama KYECU ni ya serikali, au ninakusoma vibaya?
Hata hivyo, kiwe au isiwe ya serikali kwa kweli hakuna kinachobadilika, kwa sababu wote tunajua utendaji wao ni mbovu; na ndiyo maana, tokea huko...
Kinachotia hasira katika jambo hili ni mambo mawili:
Mosi: serikali kuwanyanyasa wananchi wake kwa manufaa ya wageni
Pili: Nchi jirani kutumia jambo hilo na kulifanya propaganda kwa faida yao.
Kwa yote mawili, serikali inabeba lawama zote.
Hili ndilo tatizo ambalo naamini halihitaji digrii kubwa kubwa kulimaliza, lakini ni tatizo linalopaliliwa lizidi kushamiri, kwa sababu kuna watu wanaofaidika kutokana na tatizo hilo kuwepo.
Nchi nzima tatizo ni hili hili, lakini serikali nayo haina uwezo wa kulishughulikia! Maajabu si ni hayo?
Kumbe hata ulichotaka kuandika juu yake hukijui, basi wewe ni punguani. Punguza kuleta takataka zako humu jukwaani kupotezea watu muda.
Siku nzima unajaza matakataka tu ukumbini, kumbe hata huna uwezo wa kuelewa unachotaka kueleza?
Hivi huelewi kwamba hata Marekani enzi za akina Washgton nchi ilikuwa ni maskini?
Hapo Ulaya kuna nchi ngapi zilizokuwa na uchumi mzuri nyakati za akina Mao?
Hili nalo unataka uwe mjadala wa kuhalalisha upepari kuwa ndiyo njia pekee ya kuleta mabadiliko katika maisha ya watu?
"Reverse...
Ipi mkuu, huenda habari uliyotaka kuiwasilisha niione haikutokea.
Lakini yote kwa yote, naomba tuachane na kung'ang'ania hizi 'dogma' za vitabuni juu ya capitalism/socialism ipi iko juu ya nyingine.
Jambo muhimu ni mabadiliko wanayoyapata wananchi katika nchi husika kwa mchanganyiko wa njia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.