....Ni uamuzi mgumu; lakini makini sana na wenye muelekeo wa kujenga nidhamu ya chama. Haiwezekani watu waamue kufanya watakavyo kwenye mambo nyeti na muhimu kwa maslahi ya chama ilhali chama kikae kimya bila kuwachukulia hatua za kisheria kwa mujibu wa taratibu na au kanuni zinazoendesha chama...
....Ni uamuzi makini wenye kuzingatia haki na wajibu wa kufuata sheria, kanuni na taratibu za chama. Ifahamike hapa kwamba, chama makini (kama CHADEMA) hakiwezi kuwaachia wanachama wake wafanye watakavyo hususan kwenye mfumo ambao demokrasi ya vyama inahitaji utii wa sheria, kanuni na taratibu...
...Nadhani ni muafaka sasa kwa Jakaya Mrisho Khalfan Kikwete (JK) aachie ngazi kama (1) Mwenyekiti wa Chama, (2) Rais wa Mtandao. Sababu ni: kwanza, ni Rostam Aziz aliyemsaidia JK kuingia Ikulu kwa fedha na mbinu za kimtandao akishirikiana na Edo Lowassa na "genge" la mafisadi papa wa mfumo wa...
...Kuna kila sababu ya kutilia mashaka "utajiri wa kutupwa" wa Bwana Mdogo Ridhwan - mtoto wa Mheshimiwa Jakaya bin Mrisho wa Kikwete kutoka Msoga. Ridhiwan, kwa ujumla ni mtoto mdogo katika umri wa kazi na kinyume chake kijana huyu ametokea kumiliki utajiri mnono unaotia mashaka. Pamoja na...
...Jina langu (la kalamu) naitwa Kalamunzu dia Zinguku. Nimezaliwa mwaka 1938, tarehe 2 mwezi wa sita (Juni) katika kisiwa cha Bermuda (kwenye pembetatu). Si kawaida sana kwa sisi watu wa Bermuda kujitambulisha kwa maija ya kalamu, isipokuwa kwa vile tumekuwa tukiandamwa sana na mfumo wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.