Wanajamii JF.
Mtanadao wa waharakati wanaopigania wanawake kupewa daraja la upadri, Umemtangaza mwanachama wake Lillian Lewis (75) kuwa Padre Mkatoliki.
Uamuzi huo ambao unauweka mtandao huo katika hatari ya kutengwa na Makao Makuu ya Kanisa Katoliki duniani (Vatican) umefanyika mwishonu mwa...
Mbunge wa Arusha Mjini kupitia Chadema Mh. Godbless Lema amemtia moyo Mh Zitto Kabwe kufuatia kuondokewa na Mama yake Bi Shida Salum.
Lema amemtia moyo kupitia Chadema.
R.I.P Kamanda.
Unajidhalilisha bure bora ungekaa kimya uwe msomaji ungejifunza zaidi.
Unadhani matusi ndio yatakusaidia uonekane mjuaji.
Sijui kama utakuwa na matusi mapya ya kunitukana ambayo sijawahi kutukanwa na wajinga.
Chadema waliitupa Mtwara kwenye swala la gesi hatukona matamko yao kama yale ya Arusha, Chadema wao wapo na Arusha tu raia wengine hawana thamani kabisa.
Wana JF,
Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo katika Ikulu ya Dar es Salaam amekabidhi vitabu 2,181 kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) kwa ajili ya vyuo vya Jeshi ili kuongeza taaluma. Rais amekabidhi vitabu hivyo kwa Mkuu wa Majeshi Jenerali Davis Mwamunyange na kuahidi kuendelea kutafuta...
Imefika wakati sasa watanzania wenye asili ya asia warudishiwe mali zao walizodhulimiwa na Nyerere.
Majengo mijini karibia mikoa yote yalikuwa mali ya watanzania wenye asili ya asia, tukianzia mikoa ya Mwanza, Dar es Salaam, Arusha, Tanga.
Maeneo yote posta Dar, Samora, Bibi Titi, Azikiwe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.