Recent content by Kakulwa

  1. K

    Ntawezaje kupata Visa ya Misri

    Asanteni wakuu Inavyoonekana ni lazima kuomba visa ubalozini kabla ya safari
  2. K

    Ntawezaje kupata Visa ya Misri

    Wakuu,hakuna yeyote hapa anafahamu hili?
  3. K

    Ntawezaje kupata Visa ya Misri

    Wakuu, Naweza kupata tourist visa ya Misri upon arrival au ni lazima ni apply hapa bongo kwenye ubalozi wao kabla ya safari? Thanks
  4. K

    Baada ya Mzee Kikwete kusema yeye binafsi ndio aliteua yale majina 5 ya wagombea Urais 2015, nimekubaliana na demokrasia ya CHADEMA

    Hii kauli yake ingekuwa na maana zaidi kama angeongea kipindi Marehemu mzee Mkapa na Magufuli wakiwa hai.
  5. K

    Dr.Mwinyi na Mke wa Seif

    Usidhani inatokea kwa bahati tu.Kuwa Rais Tanzania kwa Muislam ni lazima uwe Muislam poa wa kutokea Bakwata.Ukiwa siasa kali kama kina Ponda,Urais utausikia kwa wengine.Kwahiyo ondoa dhana kuwa yeyote muislam akiwa Rais atakuwa na ubinadamu tofauti na wakristo.
  6. K

    Special Thread: Picha za Warembo Wakali World wide. Tupia picha Only Beautiful Ladies

    Mkuu huyu mtoto ni mtanzania? Nisaidie kupata mawasiliano yake kwenye PM. Thanks
  7. K

    Rais Mtarajiwa akiiwakilisha nchi nje ya Tanzania

    Kiingereza na Kiswahili ndizo lugha rasmi Tanzania.Hoja yangu ni kwa wale wanaombeza Magufuli kuwa hajui Kiingereza.Kumbe wote Magufuli na Lowasa hawajui Kiingereza vizuri. Sijawahi kuandika kuwa uongozi imara unahitaji kujua Kiingereza kwanza
  8. K

    Rais Mtarajiwa akiiwakilisha nchi nje ya Tanzania

    Wote Magufuli na Lowasa hawajui Kiingereza vizuri.
  9. K

    Afrika ilishaachwa na Mungu tangu kitambo

    usitishe watu wewe..Nitzsche alikuwa mzee wa totoz na alipata mental breakdown kwa sababu ya kaswende na ndiyo ugonjwa uliomuua baada ya kusambaa kwenye mfumo wake wa fahamu(neurosyphilis)kwavile wakati huo hakukuwa na matibabu ya kaswende lingine?
  10. K

    Dk. Magufuli atangaza kugombea Urais 2015

    Bora sasa tuongozwe na mtu aliyesoma sayansi dume.Watu wa arts/uchumi washaongoza kwa awamu nne,lakini li nchi linazidi kuwa masikini tu,eboo
  11. K

    Mwakyembe atimiza ahadi kwa kumwaga mapesa

    Huyo mama wa kati meno yote nje,udenda unamdondoka hapo anawaza kama vipi akabidhiwe yeye mzigo wote duh!
  12. K

    Ingekuwaje hii barabara ingejengwa na mtanzania?

    nafananisha na barabara ya kutoka bologna/florence kwenda roma Italia,ama?
  13. K

    Our first Christmas in Hawaii

    kajaribu mkuu huwezi jua zali la mentali au kwenye maombi kwa kina gwajima!
  14. K

    Cheapest calls to Tanzania

    nimekuelewa,isipokuwa tatizo watu wengi na mazungumzo marefu,hivyo inakula hela sana hata kwa skype
  15. K

    Cheapest calls to Tanzania

    mkuu mazungumzo marefu na watu ni wengi,vikadi hivi vinakula pesa kichizi
Back
Top Bottom