Recent content by Kakubi

  1. Kakubi

    Wale Waliokuwa Wanalalamika kuhusu Dola kwa sasa Wanaimba pambio gani tena?

    Samahani nifafanulie vizuri Serikali ikiamua kununua dhahabu BOT inasaidiaje kupanda Kwa Shilingi na kushusha Dollar?
  2. Kakubi

    Maboresho katika karatasi ya kupigia kura ili kuleta usawa kati ya wagombea

    Uchambuzi huu[emoji848][emoji848]
  3. Kakubi

    GE2020 Prof. Lipumba: Kura sio siri tena

    Karatasi ya kura haina namba yoyote
  4. Kakubi

    Hali hii ikiendelea Magufuli hapiti mwakani

    Kwani nani kakuambia watu hawajiandikishi labda wewe tu
  5. Kakubi

    Uzi maalaumu wa tusio taka kujiandikisha

    Acheni Mambo ya ajabu Kajiandikishe mkachague viongozi wenu.
  6. Kakubi

    Kushuka kwa shilingi ya Tanzania

    HISTORIA YA KUPOROMOKA KWA SHILINGI YETU DHIDI YA DOLA TANGU 1966-1972) 1USD = 5 TZS, 1973-1975) 1 USD =7 TZS, 1976 - 1 USD =12 TZS 1977 - 1 USD =12 TZS 1978-82 - 1 USD = 20TZS 1983 - 1 USD = 22 TZS 1984 - 1 USD = 23TZS 1985 - 1 USD = 102 TZS 1986 - 1 USD = 205 TZS 1987 - 1 USD = 207 TZS 1988 -...
  7. Kakubi

    Msaada natafuta mganga mashuhuri wa jadi

    Nina shida kama yako ndg, kama ulifanikiwa kumpata nisaidie na mie
  8. Kakubi

    Natafuta Mashine ya photocopy (canon) used

    Natafuta Mashine ya photocopy(canon) iliyokwishatumika, iwe na hali nzuri. Mwenye kuwa nayo, ama kufahamu inapopatikana aniPM tuongee biashara.
  9. Kakubi

    Dawa ya kuzuia wezi

    Aisee nipo serious mwenye kufahamu atanisaidia, aje inbox
  10. Kakubi

    Dawa ya kuzuia wezi

    Mmm!
  11. Kakubi

    Dawa ya kuzuia wezi

    Mbona huwa naskia kwamba zipo Dawa bhana?, Mimi nazitaka hizo dawa
  12. Kakubi

    Dawa ya kuzuia wezi

    Ndg wanaJF, mwenzenu nimechoka kuvunjiwa na wezi kila wakati. Naomba mwenye kumjua mganga anyeweza kunipatia dawa ya kuzuia wezi kwenye biashara yangu, tafadhali njoo inbox unisaidie.
  13. Kakubi

    Ushauri, Maoni, Mapendekezo na Pongezi kwa Mkuu wa Mkoa wa Dar, Paul Makonda

    Makonda ni Genius kweli, ila kwa kuwa anagusa maslahi ya watu lazima wahusika wampinge tu.
  14. Kakubi

    Kuna jamaa anauza friji

    Bei 450 Ipo vizuri kwakweli Kama unahitaji ni come one
Back
Top Bottom