Yule mwenyekiti wa Ma-Dr alitekwa akang'olewa meno na kutelekezwa Mabwepande kwa kuongozoza Ma-Dr kudai haki zao ilikuwa wakati wa Magufuli? Mauaji kule Kibiti ni kipindi cha Magufuli?
Mhhh wewe lete watu si mtu. Watu hufa kwa sababu mbalimbali. Wale waliopigana vita ya kwanza ya dunia waliobaki kama wapo ni wa kuhesabu. So ni kawaida na faida ni nyingi za kuleta watu kuliko kutokuleta.
Nafikiri itakuwa reference Kwa hawa wachunguzi Kuonyesha wanafuatilia kero Za wananchi.
1. Huyu aliyepiga simu kutishia kumpoteza Makurungenzi wa Jamii forum. Mimi Naona evidence zipo ni polisi tu Kuwa na nia ya dhati maana namba zote zimesajiliwa Kwa biometric.
2. Tuhuma wanazotaka Polepole...
Haviko huru. Katika hali ya kawaida kuna tuhuma nyingi sana kama wangekuwa waadilifu wangechumhuza. Actually huenda hawajui hata majukumu yao maana hata raia ukienda kushitaki wanaulizia hela tu za kuwawezesha. vituo vya polisi ni kama daladala.
Ukiona udhaifu huo ndio katiba mpya inatakiwa na mawazo ya Gwajima kuwa na mantiki. Rais ni Mungu kwa hali ilivyo kwa sasa. Mfano kina Silo au Siro kuwa mabalozi mara wakuu wa mikoa ni rushwa kwa sababu wanapewa shukrani kwa kazi za kuwgandamiza wananchi. Huyu former CDF na yeye amepewa cheo...
Who is paying this loan? Challenge kweli huu Muungano. Rais wa Zanzibar akikopa ni ya Zanzibar, Jamhuri ya Muungano means Tanganyika. Nafikiri Wabara wanaulipa huu mkopo 100%.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.