Kwa kweli nimeangalia matokeo ya ualimu imenishangaza kidogo. mfumo huu wa kuweka madaraja ya ualimu ni mzuri ila kuna dosari ambazo nadhani zingefanyiwa marekebisho.Kama katika ngazi nyingine kama stashahada na shahada kuna utaratibu wa kurudia kipindi/vipindi(supplementary exams) ambavyo mtu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.