Wanachama wa CHADEMA katu hatutovunjika moto na kurudi nyuma ili kupigania haki yetu .
Kitendo cha kunyiwa uhuru na kufanywa mkombaniaji uraisi wetu Tundu Lissu jana kuzuiwa na jeshi la polisi kwenye msafara wake halikutufurahisha.
Mh Tundu Lissu ni raia huru ndani ya nchi yake kama raia...
Viongozi wa CCM Tanganyika walipomchagua Hassan Mwinyi ili aje kuwa Rais wa Zanzibar, miongoni mwa sifa waliziompa ni mtu mpole na mkimya. Lakini hebu tujiulize sisi Wazanzibari huu upole wake utatusaidia nini!? Na huu ukimya wake wa kusema mengine na akayatenda mengine, tutanufaika nini?
Yeye...
Naona kuna wanakifanya kisomi sana, wanatupia nukuu za mh Magufuli za Kampeni ambazo zina ukakasi. Mfano mkichagua mpinzani mtajuta sileti maendeleo hapa. Nimefuatilia watu wanao komenti wapo very aggressive kwa Magufuli na 90% ya comments ni total Negative.
Hii ina maana gani, kiuandishi ITV...
Ccm wasijidanganye kuwa wazanzibar watakua kimya na mambo kwenda salama (muruwa) kwa kuwawaa nchi yao ili ifanywe wilaya 2 ya Unguja/Pemba na mkuu wa mkoa 1.
Hii plan ni ya kipindi kirefu tunajua na Huyu Mwinyi ni matayarisho ya kukukamilisha agenda hio kwa maguvu ya Magufuli.
Sisi...
Ni wape siri moja kati ya Magufuli na Makonda dhambi inayowatafuna watu wawili hawa?
Kifupi nikua alietegemewa kufaa Bwana Mungu wetu hakutaka afe na wingi wa risasi kama cheche za welding lakini Mungu hakutaka afe.
Na tu kumbuka yakua kilichomuokoa Tundu Lissu sio huduma za madaktari wazuri...
Mgombea wa Urais wa JMT kwa tiketi cha CHADEMA, Tundu Lissu aahidi neema kwa watu Watumishi wa Umma ikiwemo Madaktari, Malimu na Vyombo vya Dola kwa kulipwa mara mbili ya mshahara wa sasa.
Katika mazungumzo yake na viongozi wake wa ngazi za juu ameeleza kipaumbele chake kikubwa ni kuongeza...
Chanzo cha picha, AFP: Aliyekuwa mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam Paul Makonda
Kuporomoka hadhi ya utumishi wa umma, kazi za kitaaluma kutothaminiwa, maslahi hafifu, hofu ya kutumbuliwa, usalama mdogo wa kazi, mazingira magumu ya siasa na kuwa njia rahisi ya kupata mafanikio, kutoa michango...
Nimeshangazwa sana na kauli ya Serikali kupitia mdomo wa Waziri wa Fedha wa Zanzibar katika bajeti aliyoisoma leo katika ukumbi wa baraza la wawakilishi.
Waziri Ramia anasema Zanzibar imeshindwa kutekeleza miradi yake mitatu mikubwa ambayo ni:
1. Uwanja wa ndege wa Zanzibar.
2. Bandari ya...
Office of Chairman,
P. O. Box 10979,
Dar es salaam, Tanzania
E-mail:lipumba@yahoo.com
Homepage:www.cuf.or.tz
Date: 01/05/2019.
YAH: MALALAMIKO YA KUZUKA MGOGORO MPYA BAADA YA KUMALIZIKA MGOGORO ULIOKUEPO.
Salaam Ghalaykum,
Bwana Yesu asifiwe.
Sisi Wanachama wazalendo na watiifu...
Nimefadhaishwa kidogo na baadhi ya michango ya humu ndani kuhusu masuala mbali mbali yanayohusu Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Inaelekea tuna tatizo kubwa sana la uelewa wa historia yetu ya kisiasa na kikatiba. Kinachofundishwa kwa watoto wetu mashuleni kama 'historia' au 'civics' ni...
Leo nilikuwa nafatilia moja ya kituo cha television huko marekani tajiri nambari moja duniani Bilionea Bill Gates aliulizwa na mwandishi mmoja wa habari kuwa anajisikiaje kuwa tajiri mkubwa zaidi duniani. Akajibu kuwa hadhani kama yeye ni tajiri namba moja. Akaulizwa anadhani kuna mtu anamzidi...
Anaandika Malisa GJ
Ripoti ya CAG ya mwaka 2015 (wakati wa JK) inaonesha deni la matibabu nje ya nchi kwa watumishi na viongozi wa serikali kwa kipindi cha June 30 hadi December 31 mwaka 2015 liliongezeka kwa Sh.Bilioni 2.25 kutoka Sh. bilioni 16.94 hadi kufikia Sh. bilioni 19.19. Kwa Lugha...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.