Nina mtoto wa dada yani toka std 1 akifaulu sana ni wa pili kutoka mwisho hata form 4 ni kuungaunga hadi kamaliza, mama ake kachapa, fundisha sana yani unaweza fundisha 1+1=2 dk2 ukimuuliza tena kasahau ila sasa mpe asimamie biashara hapo hapotezi hata 100 na anajua kutengeneza faida ikabidi...
Kinachoshangaza mkoa wa kigoma kuna viongozi wakubwa wametokea kule hivi wameshindwa kuupigania ule mkoa zile barabara zikapigwa lami? Imagine kuna vipande vipande kama mkate wa ajemi hapa na hapa lami kidogo vumbi la kwenda inakera sana
Hili nilijifunza toka chuo kipindi sina circle kubwa ya marafiki na nilikuwa nimepanga mtaani basi yani hamna mtu alikuwa anafahamu mambo yangu, kosa tu group members walipokuja kuwa bffs aloo mara ugomvi mara umbea usioeleweka nikaona bora niweke ukuta kwa baadhi ya watu kama awali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.