Da kweli hayo makubwa ila ajiulize mbona wenzie waliacha hizo siasa na hawakuwashtua watu sometimes imgetting doubted na hizi elimu watu walizonazo siku hizi mtu anakufa kwenda kumpa pole mfiwa nitabu ije kuwa kuacha ubunge hahahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
Nadahani wakenya wamejitahidi kiasi fulani sio kama hawa mamburulas wetu hata midahalo wanakimbia sasa walikimbia mdahalo hata wa udiwani ngugu kama ni kweli ni masupporter wa upande fulani the day wil come
hizi nchi zetu zina siasa za kipuuzi sana hata akishinda ODINGA ama KENYATA SWALA NI KWAMBA JE NA HAO CHADEMA NA CCM WANA SERA ZENYE USHAWISHI KAMA HAO WANAOWAIGA SIO KUGAWIANA KOFIA ZA YANGA NA KOMBATI ILA SERA NZURI NDO MSINGI WA DEMOCRACY
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.