Asee Sugu nakukumbusha si lazima uisome hapo mjengoni.Tupia kwa mitandao tujisomee wenyewe maana hata hiyo waliyoiandaa wao bado hawataipitisha.Wananchi waliowatumeni ni zaidi ya hilo bunge lenu la kibaguzi.
Angalia mwenzako Lissu yuko huko ughaibuni ila akituma kitu kwa mtandao nchi nzima...
Hapa dawa ni waandishi wa habari kuwahoji wasanii wakongwe kuhusiana na kauli ya dudu kama ina ukweli.Soma kitabu cha Muziki na Maisha,mwandishi kuna sehemu alieleza kidogo kuhusu haya yanayojadiliwa leo.
Kwa kweli binafsi nachukizwa sana na hii kauli ambayo naona sasa imekaa na inaendelea kukomaa midomoni mwa viongozi, tabia ya kujiaminisha kwamba wao tu ndio wenye midomo na yeyote anayetaka kusema jambo hata kama limejaa utashi na busara za kiasi gani inatafsiriwa kama siasa.
Ni nani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.