Yawezekana berti yake tayari haiko imara kama inapokuwa ikiwa mpya lakini pia electronic devices ni matumizi kama ilivyo kwa simu ya mkononi.
Yawezekana nilibahatika kununua ambayo bado iko vizuri upande wa betri kwa sababu naitumia kwa wiki nzima na zaidi.
Tembelea wesite yao tafadhali utaona...
Kwa Kuwa matumizi pekee ni kusoma vitabu charge unadumu nayo hata wiki nzima hadi wiki 2.
Kwa hii yangu ni vitabu tu ila latest editions nadhani zinatumia android OS na unaweza kuweka hata apps nyingine ukatumia kama tablet ya kawaida japo sina uhakika kama zina uwezo wa kuingiza SIM cards kwa...
Kuichoka bado sana mkuu. Cheki na hii link hapa amazon kindle bookstore Arusha 2659674 | Kupatana kuna jamaa alipost tangazo siku kadhaa nyuma anauza naona anazo tatu, unaweza kubahatika
Kindle ziko vizuri sana, japo niliyonayo mimi ni Toleo la nyuma kidogo ila imeniongezea sana usomaji ukilinganisha na kusomea kwenye simu yenye apps nyingine nyingi (distractions).
Nilibahatika kununua kwa mtu online kupitia Facebook kwa 120,000 tu alikuwa Ametoka nazo nje ya nchi kama Miezi 8...
Kwa kuongezea, unaweza pia kupitia websites hizi kupata vitabu zaidi;
Library Genesis
EBooksCart - Free Books one Click Away
Electronic library. Download books free. Finding books
Sent from my SM-A705F using JamiiForums mobile app
Mkuu, memory za simu zetu za promotion hizi ni Kama unavyojua, nikimaliza huwa nafuta au kuhifadhi kwenye pc.
Vitabu viwili Kati ya ulivyoomba utavipata hapa [emoji117]EBooksCart - Free Books one Click Away
Capitalist Nigger nilisoma kupitia app ya Scribd.
Ni bure kwa mwezi wako wa kwanza...
Asante sana.
Nadhani ni mipangilio tu ya mambo yako na muda wako, kwa wakazi wa Dar tunaotumia daladala kila siku kwenda kwenye majukumu yetu tunatumia zaidi ya saa moja kwenye foleni, muda huo unaweza kuutumia na kitabu vizuri tu.
Saa moja au nusu saa kabla ya muda wako wa kulala unaweza pia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.