Recent content by kaka9

  1. kaka9

    habari natafuta mtu ambaye yupo tayari kukodisha laptop kwa mwezi

    nicheki mkuu tuwasiliane kwa 0687234549
  2. kaka9

    habari natafuta mtu ambaye yupo tayari kukodisha laptop kwa mwezi

    nicheki mkuu tuwasiliane kwa 0687234549
  3. kaka9

    habari natafuta mtu ambaye yupo tayari kukodisha laptop kwa mwezi

    dah nashukuru ndugu yangu ungekuwa Dar ingekuwa vyema,
  4. kaka9

    habari natafuta mtu ambaye yupo tayari kukodisha laptop kwa mwezi

    habari wadau natafuta mtu anayeweza kukodisha laptop kwa mwezi, kuna kazi nataka kuifanya mara moja,tutaingia mkataba na nitamlipa pesa yake kama tutakavyo kubaliana ,ambaye yuko tayari anicheki kwa namba yangu 0687234549 asanteni. note:laptop iwe na ram 4 na processor 2 kuendelea,yani iwe...
  5. kaka9

    Naomba msaada, vyuo vya ufundi wa kushona nguo vinapatikana wapi hapa Dar?

    Habari! Msaada tafadhali naulizia hapa Dar kunako patikana vyuo vya ufundi wa kushona nguo, anayefahamu anipe maelekezo!
  6. kaka9

    Je, unajua makazi yako unayoishi yanaweza yakawa ndio kikwazo cha mafanikio yako?

    Habari wadau! Je, unajua kuwa mahali unapoishi inaweza ikawa ndio kikwazo katika mipango yako ya mafanikio? Jamaa mmoja aliuziwa kiwanja sehemu flani akajenga nyumba mpaka ikakamilika lakini baada ya kuhamia alishangaa wakiwa wamelala usiku na familia yake wakawa wanasikia kama kuna watu ndani...
  7. kaka9

    Wazazi na wadau wa kusoma vitabu hii si ya kukosa vitabu vinauzwa Tsh 3000/=

    Poa mkuu zipo nyingi lakini kwa sasa tuanze na hizo.
  8. kaka9

    Wazazi na wadau wa kusoma vitabu hii si ya kukosa vitabu vinauzwa Tsh 3000/=

    Habari wadau! Vitabu vizuri vinauzwa novels, mathematics na science, kutoka nchi mbalimbali Canada,u.s.a,uk n.k,mathematics hasa kwa level ya primary na science kwa level ya primary, secondary hadi college, kwa kipindi hiki cha karantini mnunulie mtoto wako vitabu vya kumfanya awe busy...
  9. kaka9

    Min laptop hiyo mpya kabisa ni Tsh.170000/= inakaa na charge masaa 4

    Mashine bado ipo mwenye uhitaji tafadhali Sent using Jamii Forums mobile app
  10. kaka9

    Inauma lakini maisha lazima yasonge mbele

    Pole Mkuu tafuta pesa Sent using Jamii Forums mobile app
  11. kaka9

    Wapi naweza kupata maziwa fresh ya ng'ombe kwa wingi?

    Habari, Nahitaji msaada wenu wadau,ni wapi naweza kupata maziwa ya n'gombe kwa wingi zaidi na kwa bei nafuu, nahitaji maziwa ya n'gombe original kutoka kwa mfugaji ikiwezekana, na sio ya kutoka viwandani. Nicheki kupitia 0687234549 Asante! Sent using Jamii Forums mobile app
  12. kaka9

    Una supply vifaa vya mashuleni pitia hapa

    Kama wewe ni supplier wa vifaa vya shule stationaries kama vile vitabu, madaftari, laboratory equipment n.k,na ungependa kuongeza Tenda za Ku supply bidhaa zako, tuwasiliane 0687234549
  13. kaka9

    Min laptop hiyo mpya kabisa ni Tsh.170000/= inakaa na charge masaa 4

    Min laptop hiyo mpya kabisa ni Tsh.170000/=,inakaa na charge masaa 4,kwa mawasiliano piga 0762508455.
Back
Top Bottom