Recent content by Kaka yake shetani

  1. Kaka yake shetani

    Spika Tulia: Tusiweke mazingira ya kuonesha kuwa kila anayepotea amechukuliwa na Vyombo vya Dola. Tusitumie mihemko

    nilijuaga wanawake wabaya ni wife material kumbe ni takataka kabisa ambazo ni hatari zikiwa kwenye madaraka
  2. Kaka yake shetani

    Baada ya Mahakama kusema Polisi hawajawashikilia akina Soka Malisa aandika haya

    kufa kwa serikali nyingi zilianza hivi.sui uwa watanzania wanasoma vitabu au wachambuzi
  3. Kaka yake shetani

    Baada ya Mahakama kusema Polisi hawajawashikilia akina Soka Malisa aandika haya

    Jana Mahakama Kuu ya Tanzania, imesema kwamba Polisi haijawashikilia Deus Soka na wenzie wawili (Frank Mbise na Jacob Mlay) wanaodaiwa kutekwa maeneo ya Yombo Buza, na watu wenye silaha kwa kutumia gari aina ya Toyota Noah. Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Wilson Dyansobera ambaye alisema Mahakama...
  4. Kaka yake shetani

    PreGE2025 Sativa: Nilitekwa na Jeshi la Polisi wakiwa na lengo la kuniua, hata nikipotea kesho Jeshi la Polisi litakuwa limehusika

    KAMA MAHAKAMA NA BUNGE VINAKANUSHA UNATEGEMEA NANI HAKUPOKEE KWENYE SERIKALI YA SAMIA
  5. Kaka yake shetani

    Kama serikali inataka mfumo wa TEHAMA kufanya kazi kwa pamoja, mifumo yake itazame hii NVIDIA GB200 NVL72

    NVIDIA GB200 NVL72 ni mfumo wa kiwango cha juu unaounganisha CPU 36 za Grace na GPU 72 za Blackwell katika muundo wa rack-scale. Mfumo huu ni wa kupozea kwa kioevu na unajivunia kuwa na NVLink domain yenye GPU 72, inayofanya kazi kama GPU moja kubwa sana na kutoa uwezo wa kuendesha mifumo...
  6. Kaka yake shetani

    Hotuba ya Jenista Mhagama wakati wa mkutano wa WHO Africa huko Brazaville

    uchawa umemzidi yani uanataja raisi kwani hawa fahamu ni raisi wa urojo wa kitonga
  7. Kaka yake shetani

    Uliwahi kutamkiwa neno gani baya na Mwalimu wako?

    niliwai kutamkiwa na ccm kuwa mtofanikiwa uchaguzi wala kuchukua dole lao la makalioni.ila tutalitoa likiwa na mfupa maana kule kuna ozesha
  8. Kaka yake shetani

    Polisi watafanya nini baada ya kuamriwa na Mahakama kuhakikisha watekaji wanafikishwa Mahakamani?

    mada wamebadilisha hapa sikuandika hivyo mpaka kichwa cha habari na kila nikuliza wamefuta.comment wanafuta ya pili
  9. Kaka yake shetani

    Polisi watafanya nini baada ya kuamriwa na Mahakama kuhakikisha watekaji wanafikishwa Mahakamani?

    JF ni wapotoshaji malalamiko @modarator mnataka kubadilisha nilichosema kwa nini mmefanya hivyo. Nime sema mahakama ingeitaji watuhumiwa ila polisi ina maiti mpaka sasa ukweli
  10. Kaka yake shetani

    Polisi watafanya nini baada ya kuamriwa na Mahakama kuhakikisha watekaji wanafikishwa Mahakamani?

    mada wamebadilisha hapa sikuandika hivyo mpaka kichwa cha habari na kila nikuliza wamefuta.comment wanafuta ya pili
  11. Kaka yake shetani

    Kinyozi, mchomeleaji, bodaboda, mama ntilie,n.k. hulaza wastan elfu 10 kwa siku, mhitimu unaeogopa kuchekwa endelea kukaa nyumbani

    hivi ushawai kufanya biashara au unafanya biashara za maneno kama wale heka moja ya matikiti ni milioni 5
  12. Kaka yake shetani

    Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea

    ulikuwa unatumia makilio kusoma hapa.ulitaka ushaidi gani kwani polisi alitakiwa kumpeleka wapi ?
  13. Kaka yake shetani

    Kwanini ukimeza punje za vitunguu swaum mwili unaanza kuleta ghasia?

    kujamba ovyo bila kuzibiti gesi ya mkataba wa ccm
  14. Kaka yake shetani

    Polisi watafanya nini baada ya kuamriwa na Mahakama kuhakikisha watekaji wanafikishwa Mahakamani?

    Bungeni umesikia kauli ya spika kuhusu hafahamu lolote wala hakuna utekaji kuwa hupo tanzania. hii kauli yake nayo inakuwa sawa na raisi kusema ni drama. huku jeshi la polisi matukio mengi ya utekaji wamekuwa wakikanusha au kupuuzia linapotokea. Sasa matumbo joto huko wizara ya mambo ya ndani...
Back
Top Bottom