Jana Mahakama Kuu ya Tanzania, imesema kwamba Polisi haijawashikilia Deus Soka na wenzie wawili (Frank Mbise na Jacob Mlay) wanaodaiwa kutekwa maeneo ya Yombo Buza, na watu wenye silaha kwa kutumia gari aina ya Toyota Noah. Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Wilson Dyansobera ambaye alisema Mahakama...
NVIDIA GB200 NVL72 ni mfumo wa kiwango cha juu unaounganisha CPU 36 za Grace na GPU 72 za Blackwell katika muundo wa rack-scale. Mfumo huu ni wa kupozea kwa kioevu na unajivunia kuwa na NVLink domain yenye GPU 72, inayofanya kazi kama GPU moja kubwa sana na kutoa uwezo wa kuendesha mifumo...
JF ni wapotoshaji malalamiko @modarator mnataka kubadilisha nilichosema kwa nini mmefanya hivyo.
Nime sema mahakama ingeitaji watuhumiwa ila polisi ina maiti mpaka sasa ukweli
Bungeni umesikia kauli ya spika kuhusu hafahamu lolote wala hakuna utekaji kuwa hupo tanzania. hii kauli yake nayo inakuwa sawa na raisi kusema ni drama. huku jeshi la polisi matukio mengi ya utekaji wamekuwa wakikanusha au kupuuzia linapotokea.
Sasa matumbo joto huko wizara ya mambo ya ndani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.