Baada ya Mahakama kusema Polisi hawajawashikilia akina Soka Malisa aandika haya

Kaka yake shetani

JF-Expert Member
Feb 1, 2023
5,771
14,733
Jana Mahakama Kuu ya Tanzania, imesema kwamba Polisi haijawashikilia Deus Soka na wenzie wawili (Frank Mbise na Jacob Mlay) wanaodaiwa kutekwa maeneo ya Yombo Buza, na watu wenye silaha kwa kutumia gari aina ya Toyota Noah. Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Wilson Dyansobera ambaye alisema Mahakama imejiridhisha kuwa vijana hao watatu hawapo Polisi na hivyo kutaka Polisi iwatafute.

Hukumu hii imeleta simanzi kubwa kwa ndugu wa vijana hawa, na wapenda haki wote nchini. Lakini pia imeset "precedence" kwa matukio ya utekwaji na watu kupotea;

1. Hukumu hii inamaanisha ukifuatwa mtaani na watu wasio na sare za Polisi, vitambulisho na arrest warranty usikubali kwenda. Pambania uhai wako, bora wakuulie hapo ulipo kuliko wakupeleke huko wanakotaka. Kwa lugha rahisi bora ufie nyumbani ndugu zako watakuzika, kuliko ukafie pasipojulikana na ndugu zako wasione hata maiti yako.

2. Hukumu hii inamaanisha baadhi ya Polisi wenye "nia ovu" wanaweza kukukamata na baadae wakakanusha sio wao na usiwe na la kufanya. Na mahakama itakosa ushahidi wa kuwatia hatiani.

Pia soma: Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea

3. Hukumu hii inamaanisha kwamba Tanzania kuna genge la kuteka watu ambalo sio sehemu ya jeshi la Polisi. Kama Mahakama inakubali kuwa akina Soka "walitekwa" lakini sio na polisi, it means mahakama inakubali genge la utekaji lipo. Je genge hilo limeundwa na nani? Linamtumikia nani? Kwa maslai gani?

4. Hukumu hii inamaanisha kuwa vyombo rasmi vya ulinzi vipo dhaifu kiasi kwamba raia wanaweza kutekwa kwenye nchi yao na "genge la watu wasiojulikana" na Polisi wasiweze kuzuia.

5. Hukumu hii inamaanisha usalama wa wakosoaji wa serikali upo mashakani. Hivyo basi usitembee peke yako. Kama wewe ni mkosoaji wa serikali hakikisha hukai kifala.

NB: Ni bahati mbaya haya yote yanafanyika katika nchi inayojinasibu kuheshimu uhuru wa maoni na utawala wa sheria. Ni bahati mbaya zaidi kuwa Waziri wa mambo ya ndani anajisifia kuwa nchi ipo salama wakati kuna watu wanadaiwa kutekwa na kupotezwa na hakuna hatua za maana zinazochukuliwa kukomesha vitendo hivi!
 
Ni muhimu sana kwa mtaani, vijiweni, maskani na sehemu zote wanazokaa vijana na wananchi kuchukua tahadhari ya kujilinda, kujihami pia kutokuruhusu hiyo hali ya kutekwa au kuchukuliwa watu na wanaojiita polisi au usalama.

Sichochei fujo, vurugu au uvunjifu wa amani ila Kuna umuhimu wa kuwachoma moto hao wanaokuja kukamata watu na kuchoma na kuharibu gari lao.

Tuacheni ukondoo, ufala na uoga vinginevyo tutadakwa kama kuku wa broiler na hao waalifu.

Nipo tayari kurekebishwa. INATOSHA na INATOSHA.
 
Jana Mahakama Kuu ya Tanzania, imesema kwamba Polisi haijawashikilia Deus Soka na wenzie wawili (Frank Mbise na Jacob Mlay) wanaodaiwa kutekwa maeneo ya Yombo Buza, na watu wenye silaha kwa kutumia gari aina ya Toyota Noah. Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Wilson Dyansobera ambaye alisema Mahakama imejiridhisha kuwa vijana hao watatu hawapo Polisi na hivyo kutaka Polisi iwatafute.

Hukumu hii imeleta simanzi kubwa kwa ndugu wa vijana hawa, na wapenda haki wote nchini. Lakini pia imeset "precedence" kwa matukio ya utekwaji na watu kupotea;

1. Hukumu hii inamaanisha ukifuatwa mtaani na watu wasio na sare za Polisi, vitambulisho na arrest warranty usikubali kwenda. Pambania uhai wako, bora wakuulie hapo ulipo kuliko wakupeleke huko wanakotaka. Kwa lugha rahisi bora ufie nyumbani ndugu zako watakuzika, kuliko ukafie pasipojulikana na ndugu zako wasione hata maiti yako.

2. Hukumu hii inamaanisha baadhi ya Polisi wenye "nia ovu" wanaweza kukukamata na baadae wakakanusha sio wao na usiwe na la kufanya. Na mahakama itakosa ushahidi wa kuwatia hatiani.

Pia soma: Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea

3. Hukumu hii inamaanisha kwamba Tanzania kuna genge la kuteka watu ambalo sio sehemu ya jeshi la Polisi. Kama Mahakama inakubali kuwa akina Soka "walitekwa" lakini sio na polisi, it means mahakama inakubali genge la utekaji lipo. Je genge hilo limeundwa na nani? Linamtumikia nani? Kwa maslai gani?

4. Hukumu hii inamaanisha kuwa vyombo rasmi vya ulinzi vipo dhaifu kiasi kwamba raia wanaweza kutekwa kwenye nchi yao na "genge la watu wasiojulikana" na Polisi wasiweze kuzuia.

5. Hukumu hii inamaanisha usalama wa wakosoaji wa serikali upo mashakani. Hivyo basi usitembee peke yako. Kama wewe ni mkosoaji wa serikali hakikisha hukai kifala.

NB: Ni bahati mbaya haya yote yanafanyika katika nchi inayojinasibu kuheshimu uhuru wa maoni na utawala wa sheria. Ni bahati mbaya zaidi kuwa Waziri wa mambo ya ndani anajisifia kuwa nchi ipo salama wakati kuna watu wanadaiwa kutekwa na kupotezwa na hakuna hatua za maana zinazochukuliwa kukomesha vitendo hivi!
Majaji wa UPE
 
Kinachotakiwa hapa ni kujilinda wenyewe.kila mtu mitaani wawe na vikundi angalau kuwe na kikubdi Cha kuanzia watu watano watakao kuwa tayari muda wote endapo mmoja wao ataona watu hawaeleweki wakitaka kuleta mazoea hasa wanao Kuja na gari kwako mnaitana na kuanza kuwashughulikia.kama ni gari toboa matairi na kuchoma moto.Nguvu ya umma ikiamua hakuna Cha polisi uchwara kujifanya kuteka watu
 
Hukumu hii inamaanisha isipite saa 24 bila kuwasiliana na ndugu/jamaa/rafiki wako wa karibu kumjulia hali sio kwa simu ya maongezi hata kwa sms ama emoji. Mtu wako keshapotea unakuja shtuka 5 /7 /10 days baadaeee - not easy to trace
Hukumu hii inamaanisha uonapo watu usiowafahamu wamekufwata piga kelelee sanaa watu wakusanyike duh
 
Ni muhimu sana kwa mtaani, vijiweni, maskani na sehemu zote wanazokaa vijana na wananchi kuchukua tahadhari ya kujilinda, kujihami pia kutokuruhusu hiyo hali ya kutekwa au kuchukuliwa watu na wanaojiita polisi au usalama.

Sichochei fujo, vurugu au uvunjifu wa amani ila Kuna umuhimu wa kuwachoma moto hao wanaokuja kukamata watu na kuchoma na kuharibu gari lao.

Tuacheni ukondoo, ufala na uoga vinginevyo tutadakwa kama kuku wa broiler na hao waalifu.

Nipo tayari kurekebishwa. INATOSHA na INATOSHA.
Ni muhimu sasa kuanza kutembea na silaha ikiwezekana kisu kama hauna uwezo wa kumiliki bastola .
Unawafanyizia kama alivyowafanyia zacharia zachari, manake kama asingewashuti alikuwa anatekwa na wasiojulikana
 
Ni muhimu sana kwa mtaani, vijiweni, maskani na sehemu zote wanazokaa vijana na wananchi kuchukua tahadhari ya kujilinda, kujihami pia kutokuruhusu hiyo hali ya kutekwa au kuchukuliwa watu na wanaojiita polisi au usalama.

Sichochei fujo, vurugu au uvunjifu wa amani ila Kuna umuhimu wa kuwachoma moto hao wanaokuja kukamata watu na kuchoma na kuharibu gari lao.

Tuacheni ukondoo, ufala na uoga vinginevyo tutadakwa kama kuku wa broiler na hao waalifu.

Nipo tayari kurekebishwa. INATOSHA na INATOSHA.
Labda hao wavunja sheria kama wewe mbona watz tuko salama tu. Nenda SA au hapo Kenya tu uone hali ya usalama ilivyo mbaya. Acheni siasa zenu uchwara.
 
Jana Mahakama Kuu ya Tanzania, imesema kwamba Polisi haijawashikilia Deus Soka na wenzie wawili (Frank Mbise na Jacob Mlay) wanaodaiwa kutekwa maeneo ya Yombo Buza, na watu wenye silaha kwa kutumia gari aina ya Toyota Noah. Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Wilson Dyansobera ambaye alisema Mahakama imejiridhisha kuwa vijana hao watatu hawapo Polisi na hivyo kutaka Polisi iwatafute.

Hukumu hii imeleta simanzi kubwa kwa ndugu wa vijana hawa, na wapenda haki wote nchini. Lakini pia imeset "precedence" kwa matukio ya utekwaji na watu kupotea;

1. Hukumu hii inamaanisha ukifuatwa mtaani na watu wasio na sare za Polisi, vitambulisho na arrest warranty usikubali kwenda. Pambania uhai wako, bora wakuulie hapo ulipo kuliko wakupeleke huko wanakotaka. Kwa lugha rahisi bora ufie nyumbani ndugu zako watakuzika, kuliko ukafie pasipojulikana na ndugu zako wasione hata maiti yako.

2. Hukumu hii inamaanisha baadhi ya Polisi wenye "nia ovu" wanaweza kukukamata na baadae wakakanusha sio wao na usiwe na la kufanya. Na mahakama itakosa ushahidi wa kuwatia hatiani.

Pia soma: Mahakama yaamuru Polisi kuwatafuta viongozi wa BAVICHA (kina Deusdedith Soka) waliopotea

3. Hukumu hii inamaanisha kwamba Tanzania kuna genge la kuteka watu ambalo sio sehemu ya jeshi la Polisi. Kama Mahakama inakubali kuwa akina Soka "walitekwa" lakini sio na polisi, it means mahakama inakubali genge la utekaji lipo. Je genge hilo limeundwa na nani? Linamtumikia nani? Kwa maslai gani?

4. Hukumu hii inamaanisha kuwa vyombo rasmi vya ulinzi vipo dhaifu kiasi kwamba raia wanaweza kutekwa kwenye nchi yao na "genge la watu wasiojulikana" na Polisi wasiweze kuzuia.

5. Hukumu hii inamaanisha usalama wa wakosoaji wa serikali upo mashakani. Hivyo basi usitembee peke yako. Kama wewe ni mkosoaji wa serikali hakikisha hukai kifala.

NB: Ni bahati mbaya haya yote yanafanyika katika nchi inayojinasibu kuheshimu uhuru wa maoni na utawala wa sheria. Ni bahati mbaya zaidi kuwa Waziri wa mambo ya ndani anajisifia kuwa nchi ipo salama wakati kuna watu wanadaiwa kutekwa na kupotezwa na hakuna hatua za maana zinazochukuliwa kukomesha vitendo hivi!
Mungu ataitaka damu za wanaouawa kwa maagizo.maalumu kutoka kwa aliyejuu ya katiba yetu.

Ninatangaza, kuna mtu anaweza kufa ghafla ili Taifa lipone. Mateso yana mwisho haya
 
Siku polisi wakiuawa kwa kukamata mtu kienyeji labda ndio watachukua hatua
Yule tajiri wa mwanza Zakaria aliwavunja miguu kwa risasi ndio baadae inakuja kujulikana ni askari kanzu, watu tembeeni na mapanga, kuna video inasambaa mtandaoni jamaa kenya huko alikamatwa kienyeji akapiga kelele watu wakajaa watekaji(ambao ni askari) wakawa hawana la kufanya, USIKUBALI KWENDA POPOTE BILA KUONA KITAMBULISHO WALA NGUO ZA POLICE
 
Back
Top Bottom