Kinachonichanganya mama Tiba alipochaguliwa wengi tulimwamini na alianza kwa kuonyesha kua kwa kipindi kile tumepata mwarobaini wa kutibu matatizo makubwa tuliyokua nayo ktk kuporwa ardhi yetu na kile kilichoitwa waekezaji "du kumbe Mama huyu ni dalali" Asante mh. Halima Mdee kwa hutuba yake ya...
Suala la kusinzia ni tofauti na kulala Hata hivyo hakusinzia aliinama huyu jamaa anayejiita kigoma mjini ameshikwa na homa ya dengue mpelekeni hospitali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.