Recent content by Kaka mwisho

  1. Kaka mwisho

    Ni smart TV gani 4K kwa sasa ipo vizuri sana?

    1. TCL 43" Model S5400A FHD Smart Android TSH 550,000/= TCL 43" Model V6C UHD 4K TSh 700,000/= Mkuu niende na ipi na je bei zao ni sahihi
  2. Kaka mwisho

    Kati ya hizi gari, ipi ni nzuri Kwa mizunguko hapa mjini.

    Kati ya hizi gari ipi ni nzuri na Bora Kwa mizunguko ya hapa mjini.
  3. Kaka mwisho

    Naomba ushauri kuhusu kozi ya kuchagua kati ya hizi

    Wadau wa elimu ushauri wenu kuhusu kozi ya kuchagua Kati ya hizo alizochaguliwa na hivyo vyuo. 1. TIA & IFM DAR ES SALAAM (ACCOUNTING) 2. CBE DAR ES SALAAM (ACCOUNTING & TAXATION) 3. JORDAN MORO (ACCOUNTING &FINANCE)
  4. Kaka mwisho

    Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

    Tigo Shop inauzwa 990,000/= Mimi Nataka Samsung ya 600,000/=
  5. Kaka mwisho

    Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

    Hii Code ##7378423## ni Kwa simu zote.? Au Samsung ana Code yake ukitaka kujua ni Simu mpya.[/code]
  6. Kaka mwisho

    Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

    Chief Nataka kununua simu ya Samsung bajeti yangu ni 600,000/= Samsung ipi nzuri inaendana na bajeti hii
  7. Kaka mwisho

    MJADALA: Je, Pikipiki gani ni bora kwa matumizi ya nyumbani au biashara kwa Tanzania?

    Wazoefu bilashaka wakina Boxer na TVs hapa sio level yao. Nichukue ipi Kati ya Blue(Ace125 Tax) au Nyekundu (Ace125 Individual)
  8. Kaka mwisho

    Kwanini Tanzania latest Car ni chache sana kuonekana. Bado wanaagiza Magari ya 2000-2010

    Kwanini Tanzania bado wanaagiza Magari ya zamani sana. Yaani mpaka Leo mtu bado anaagiza Old Model Car.
  9. Kaka mwisho

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Ndio yenyewe.
  10. Kaka mwisho

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Mwenye link ya hii series ya kikorea afanye kushare hapa. "The Cursed Prince" ya 2023.
  11. Kaka mwisho

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Mwenye link ya hii series imetoka Mwaka Jana 2023 "The Cursed Prince" vipande vyake ni vya dakika 17.
  12. Kaka mwisho

    Kwa bajeti ya Tsh. 300,000/- naweza kununua simu gani nzuri mpya au used?

    Chief kuna simu Kali zaidi ya Samsung A04S Kwa 400,000/= Kwa bei hii.
  13. Kaka mwisho

    Kwa wapenzi wa Korean Dramas, hii ni thread yako!

    Wadau nipeni list za series zenye amshaamsha kama hizi
Back
Top Bottom