Wewe utakuwa na chuki binafsi tu unatumia hiyo nafasi kutoa sera zako za kiupizani na kujikomba kwa serikali iliyopo ili uone kama utapata nafasi serikalini ya kupozea njaa zako na kujitibu kiu ya tamaa zako za madaraka. Rizika na uwakubali waliopewa nafasi za kukuongoza.
Maelezo yako hayajitoshelezi bwashee. Ongea ni wapi alipo mtaalamu wa kunifanyia hilo unaloongea. Mengine ni mbwembwe tu za nyongeza ambazo sitaki. Lete point yenyewe mtaalamu (uhakika) ni nani na yupo wapi basi ndo nataka alafu mengine niachie mimi. Nimekatwa kichwa, nimefirwa, sijui nimeombwa...
Fanya hivi: kama unamtunza baba yako kwako ina maana wewe una uwezo angalau kiuchumi. Muelimishe matumizi ya kondom na kila mwisho wa mwezi mtoe elfu 50 na uwe unampeleka viwanja mlengeshee size zake ili ajipatie raha duniani. Hakikisha anapata demu wake wa kudumu wa kumpa huduma sio unajifanya...
Habari ya wakati huu ndugu, kama unamjua mganga popote hapa TANZANIA mwenye uwezo wa kumfanya mtu apate mali (PESA) Kwa njia yoyote au freemason na una uhakika 100% tafadhali unisaidie kunielekeza. Natafuta sana hilo jambo
Nipo Moshi
Habari ya wakati huu,
Ninahitaji mwanamke ALIYE TAYARI KUISHI MAISHA YA WAWILI kwa sasa. Naposema kwa sasa namaanisha kwa muda mfupi tuanze kuishi pamoja.
0623 935 605
Sina mambo mengi isipokuwa vigezo vichache hapa chini:-
a. Umri 23-35
b. Uwe huru na Usiwe na ndoa inayoendelea
c. UKWELI NA...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.