Kurudisha fedha siyo kosa lakini vilevile kurudisha fedha hakukuondolei kosa....ila ingekuwa kule kwa wenzetu kwenye Plea bargaining ingeweza kuwa kama mitigation factor ili prosecution machinery iende kwa kosa dogo na siyo kubwa lakini hapa kwetu hicho kifungu hakipo
Umeanza vizuri ila umemaliza vibaya ...hayo Maswali yangu ungeyaelewa ungetambua kwamba kunatofauti kubwa sana ...tena sana ya ufafanuzi wako na uhalisia wa Usalama wa Nchi kama inavyotumika hapa nchini. Usalama hauhitaji kubeba dhana za kufikirika.Issue ya Osama nitofauti sana Kama mbingu na...
Kama ni hivyo it is the other way round na Ujinga ni sifa ya Binadamu anaye penda kujifunza... ...unajipiga risasi mwenyewe....USALAMA WA NCHI MAANA YAKE NINI? NA USALAMA WA NCHI UNAANZIA WAPI NA KUISHIA WAPI? NA NANI ANAPIMA KIWANGO CHA USALAMA WA NCHI NA KUWEKA MPAKA WA HAKI YA FARAGHA YA MTU...
ndiyo maan mitandao hii inayo ongozwa na watu wenye kuelewa maana ya haki ya faragha ya mtumiaji,uhuru wa maoni na haki ya kulindwa kwa Mtu dhidi vitendo haramu vya vyombo vya dola wanapinga Ujinga huu ambao kwetu eti inaitwa kwa usalama wa Taifa ...hivi unaomba mawasiliano ya jumla ya mtu kwa...
sidhani kama huyu aliyekiandika hiki anakielewa maake vifungu vilivyo oneshwa vinasema hiki yeye anasema hiki...labda nimesahau kiingereza nirudi darasani
AMANI ni nini inaumbile gani na Inavunjwaje ...ni wakati gani utajua una amani ...ni kitu cha jumla au hali ya mtu Binafsi je ni kipimo kipi tunacho pima kiwango na kiasi cha amani... Je amani ni Nini hasa katika mahusiano ya kibinadamu ....Je nini sehemu ya amani katika Uhalisia wa mtu....Je ni...
Viwanda vya namna gani...kwa maandalizi yapi na human Resource ipi...hivi viwanda ni vya kuserve sekta gani na mpango gani mtambuka ulio andaliwa kuunganisha sekta mama na sekta Mtambuka ili kukidhi dhana ya uwekezaji endelevu...kufungua au kuanzisha kiwanda nitofauti na kufungua KILABU CHA...
Nadhani amuite Sheif sherif Hamad aje kuwa shahidi wake upande wa Utetezi ili awabomoe vizurii kujustify maelezo yake....Unaweza ukakubali kwamba haya ni yangu lakini ukakataa kwamba haya oneshi kosa unalotuhumiwa...
Kkkkkkkkkkk Kupindua Ikulu...kkkkkk...mbavu zangu mie dah haya mashtaka sasa ...kosa la kupindua Ikulu...TEHETHE HIVI IKULU INAPINDULIWAGA.......MAGU ametishiwa ...akataishika au? dah Mungu tusaidie hapa tulipo sipo huku tuendako siko hilo shtaka nimelipenda kweli....KUCHAPISHA TAARIFA YA...
Ole wake atakayeifanya siku hiyo itokee maake ingekuwa heri kwake jiwe la kusagia lifungwe shingoni mwake na kutoswa baharini...na hakika dunia nzima italaani siku ya kuzaliwa kwake mtu huyo
Hayo mazoezi ya Mitaani labada kama ni kwenda kufukuza sungura Porini huwezi kumtishia mtu kamili kwa kukimbia kimbia siku mbili tatu watu wanabishana kwa hoja wewe unajiandaa kwa mitulinga...haya mazoezi yanweza watisha vilaza wachache na siyo watu wenye akili timamu
Mtu hata kwa kutumia akili ya mtoto mdogo anaye tambaa hawezi kunionesha katika Ilani ya CCM hicho kinachofanyika sasa Ilani imejielekeza vizuri IKIONESHA NI GRADUAL PROCESS kuliko hiki kinachofanyika kwa fast track kimsingi wale wanao unga mkono uhamaji wa fast truck wanakwenda kinyume na...
Huu ni Umakini katika nchi ya watu wasiyo makini na usiulinganishe na umakini kwa nchi iliyo na watu makini.Ndipo hapa taifa lilipofika.Kila jambo linafanywa kwa maigizo na kutafuta sifa tunasahau kuweka akiba ya maneno....
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.