Kwa hiyo mtoto wako kulazimishwa kusoma na mwalimu tena anageuka kuwa MPUMBAVU!
Basi haina haja kumpeleka shule maana huko kote kuna Walimu ambao ni wapumbavu, kwa hiyo mtoto wako atakuwa mpumbavu zaidi ya wazazi wake kwa sababu nao wamefundishwa na wapumbavu hao hao kabla hawajamzaa mtoto...
Afadhali umeyaona mwenyewe, Umevuliwa bila kuwa na target. Wanaume wanapenda kwa 1% na 99% wanawake kuwapenda wanaume. (UMEONGEA KWELI) ila wengine tunakimbia kuhudumia. :-(
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.