Recent content by kajembe

  1. K

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Wameacha hata kulinda mipaka yetu kumbe!
  2. K

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

  3. K

    JamiiForums Tanzania Weledi wa Jeshi la Wananchi JWTZ unapimwaje?

    Aisee! ni wapi huko Mkuu? tusaidie nchi yetu, unaweza kusaidia sana!
  4. K

    JamiiForums Tanzania Kumekuwepo na Tishio la Kiusalama linalotokana na Mgogoro wa Mpaka Kati ya Tanzania na Uganda

    Unadhania Uganda wao ndiyo hawana siasa jeshini? endelea kujindanganya jambo usilolijua bora ukae kimya tu! hata hivyo vita siyo sifa ni uharibifu na kutafuta umaskini tu! vita ya kagera mpaka leo madhara yake yanatutafuna wengine tulipoteza Baba zetu! Wamejiimarisha kwa kitu gani? unamiini...
  5. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jenerali Ulimwengu - no reforms no election 2025 wana madai ya msingi

    Kumbe najadiliana na mtu mbumbumbu! sitapoteza muda wangu tena kujibu hoja zako za kijinga na kipumbavu!
  6. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jenerali Ulimwengu - no reforms no election 2025 wana madai ya msingi

    Kumbe ni mtu mjinga hakuna hata haja ya kujadiliana na wewe!
  7. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jenerali Ulimwengu - no reforms no election 2025 wana madai ya msingi

    Jibu hoja zake :D:D:D:D
  8. K

    JamiiForums Tanzania PreGE2025 Jenerali Ulimwengu: Tume Huru ya Uchaguzi sawa na Nguruwe aliyepakwa lipstick!

    Jamani mjibuni msimtukane sababu ya umri wake! wengine hata huo umri hamtafika na uzee ni heshima! mbona tunakosa adabu namna hiyo! inasikitisha sana, wewe hauna Baba au Babu nae unamuona kazee ka hovyo? Ni bahati mbaya sana kuna ukosefu wa adabu wa hali ya juu! Apingwe kwa hoja siyo matusi...
  9. K

    JamiiForums Tanzania Lissu amefeli, CHADEMA ipo vipande vipande ameshindwa kuiunganisha

    Kweli ni mdomo maana hana Dola! kwahiyo wananchi tunamuunga mkono kwa mdomo wake maana anatuambia ukweli! wengine watatumia dola siyo mdogo uko sahihi kabisa
  10. K

    JamiiForums Tanzania Lissu amefeli, CHADEMA ipo vipande vipande ameshindwa kuiunganisha

    Wengine tunamuelewa kwelikweli! tumechoka na CCM
  11. K

    JamiiForums Tanzania Lissu amefeli, CHADEMA ipo vipande vipande ameshindwa kuiunganisha

    CHADEMA sasa ndiyo kimekuwa chama kweli cha Upinzani kelele hizi za wana CCM zitapigwa sana, CHADEMA imekua imara zaidi sasa! LISSU na viongoizi wao tunawaelewa sasa vizuri!
  12. K

    JamiiForums Tanzania Matunda ya Diaspora: Namna Wanawake Diaspora 2 walivyoweza kumuweka Kagame na Rwanda kwenye kona. Tanzania tuna la kujifunza

    Muda wa Mungu wenu mnaemwabudu sana unafikia mwisho! katapigwa tu! ka nchi kenyewe maskini kanategemea wizi Congo ili ku survive. Ukizunguka hako ka nchi ndiyo utajua kumbe kelele nyingi kumbe si lolote wanajua propaganda za mitandaoni! Nchi yenu maskini sana acheni ujinga manaharibu future yenu!
  13. K

    JamiiForums Tanzania Siungi mkono JWTZ kwenda kupigana na Rwanda au M23

    waje kufanya nini? hayo ni mawazo yasiyo na maana na ya kichochezi! vita siyo nzuri na hatutaki na wala haituhusu kabisa
Back
Top Bottom