Recent content by kajembe

  1. K

    Kumekuwepo na Tishio la Kiusalama linalotokana na Mgogoro wa Mpaka Kati ya Tanzania na Uganda

    Unadhania Uganda wao ndiyo hawana siasa jeshini? endelea kujindanganya jambo usilolijua bora ukae kimya tu! hata hivyo vita siyo sifa ni uharibifu na kutafuta umaskini tu! vita ya kagera mpaka leo madhara yake yanatutafuna wengine tulipoteza Baba zetu! Wamejiimarisha kwa kitu gani? unamiini...
  2. K

    PreGE2025 Jenerali Ulimwengu - no reforms no election 2025 wana madai ya msingi

    Kumbe najadiliana na mtu mbumbumbu! sitapoteza muda wangu tena kujibu hoja zako za kijinga na kipumbavu!
  3. K

    PreGE2025 Jenerali Ulimwengu - no reforms no election 2025 wana madai ya msingi

    Kumbe ni mtu mjinga hakuna hata haja ya kujadiliana na wewe!
  4. K

    PreGE2025 Jenerali Ulimwengu: Tume Huru ya Uchaguzi sawa na Nguruwe aliyepakwa lipstick!

    Jamani mjibuni msimtukane sababu ya umri wake! wengine hata huo umri hamtafika na uzee ni heshima! mbona tunakosa adabu namna hiyo! inasikitisha sana, wewe hauna Baba au Babu nae unamuona kazee ka hovyo? Ni bahati mbaya sana kuna ukosefu wa adabu wa hali ya juu! Apingwe kwa hoja siyo matusi...
  5. K

    Lissu amefeli, CHADEMA ipo vipande vipande ameshindwa kuiunganisha

    Kweli ni mdomo maana hana Dola! kwahiyo wananchi tunamuunga mkono kwa mdomo wake maana anatuambia ukweli! wengine watatumia dola siyo mdogo uko sahihi kabisa
  6. K

    Lissu amefeli, CHADEMA ipo vipande vipande ameshindwa kuiunganisha

    Wengine tunamuelewa kwelikweli! tumechoka na CCM
  7. K

    Lissu amefeli, CHADEMA ipo vipande vipande ameshindwa kuiunganisha

    CHADEMA sasa ndiyo kimekuwa chama kweli cha Upinzani kelele hizi za wana CCM zitapigwa sana, CHADEMA imekua imara zaidi sasa! LISSU na viongoizi wao tunawaelewa sasa vizuri!
  8. K

    Matunda ya Diaspora: Namna Wanawake Diaspora 2 walivyoweza kumuweka Kagame na Rwanda kwenye kona. Tanzania tuna la kujifunza

    Muda wa Mungu wenu mnaemwabudu sana unafikia mwisho! katapigwa tu! ka nchi kenyewe maskini kanategemea wizi Congo ili ku survive. Ukizunguka hako ka nchi ndiyo utajua kumbe kelele nyingi kumbe si lolote wanajua propaganda za mitandaoni! Nchi yenu maskini sana acheni ujinga manaharibu future yenu!
  9. K

    Siungi mkono JWTZ kwenda kupigana na Rwanda au M23

    waje kufanya nini? hayo ni mawazo yasiyo na maana na ya kichochezi! vita siyo nzuri na hatutaki na wala haituhusu kabisa
  10. K

    Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

    Hii kitu haina uhusiano wowote na unachosema! nimegundua kwenye mitandao kuna watu wengine uelewa wenu ni mdogo sana! mnatamani vita mandhania ni vizuri,huo ujinga hatuutaki hapa.
  11. K

    Mwisho wa Tanzania Pride: JWTZ wadhalilishwa kusubirishwa mpakani huko Rwanda

    Kichapo gani unachosema hapo sijakuelewa,maana vikosi vile vinatekeleza viko pale kwa article 6 na unajua kazi yao ni nini? siyo kupigana ni kulinda amani! Kikosi cha akina Mwakibolwa kilikua [ale kwa artocle 7 ya umoja wa mataifa na ndiyo maana waliwatindika hao wajinga unao wasifia. Sasa...
  12. K

    PreGE2025 Tusaidianeni. Kwanini wabunge wengi wamepata Bachelors na Masters kutoka Open University? Kuna siri gani kwenye hicho chuo?

    Hta UDSM ni sawa tu vyuo vingine! Elimu ya Tanzania haitofautiani. Tumewafnyia interview watoto wengi tu vyuo tofauti tofauti hakuna tofauti! wanaojiongeza wanafanya vizuri siku hizi elimu inaptikana kirahisi sana ni juhudi za mtu wala siyo chuo
Back
Top Bottom