Hata mimi hili najiuliza, ni uongo wa aje, mie mwenyewe ni mwalim wa science, nmesoma ualimu miaka mitatu, nipo mtaani tu na vyeti vyangu, hawatufikirii wala, maajabu ya tanzania
Uliogelea!, hahaa uongo huu, hata maji yake yanakatazwa kuguswa, kwanza kingo zale huteleza, ndio maana hushauri kuliangalia kwa mbali na sio kulisogelea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.