Recent content by Kahungwe

  1. K

    Hivi kijana na hizi harakati za maisha unasemaje umeokoka?

    Ndugu yangu kijana mwenzangu, harakati za maisha bila Mungu kukusaidia utajikuta umeangukia kwenye rushwa, madawa ya kulevya, ujambazi, kupigwa, kulogwa na wachawi nk.Mwisho wa siku ndoto zako zote zinapotea. Wokovu ndiyo mpango mzima,utabarikiwa mjini na vijijini,utabarikiwa uingiapo na Mungu...
  2. K

    Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

    Kama wewe binafsi huamini vitabu vya Mwenyezi Mungu pole sana, utaendelea kuteseka bure na kutafuta history FAKE ambazo hazitakuja kukusaidia wala kukupa suluhisho lolote zaidi ya kupoteza muda bure kujitesa nafsi yako, utamaliza muda wako wa kuishi hapa duniani utaondoka utaiacha Israel ipo na...
  3. K

    Je, unajua kuwa taifa la Israel lingekuwa katika eneo la Afrika Mashariki?

    Ndugu yangu kasome vizuri kwenye kitabu cha mwenyezi Mungu kinatambua uwepo wa wayahudi hata kabla ya uislamu kuwepo na eneo lao linajulikana.(Middle east) Nakushauri usiwe mkubwa kuliko kitabu cha mwenyezi Mungu. Kuhusu mataifa mengi kuunga mkono Palestina haiondoi ukweli kwamba Israel ina...
  4. K

    Askofu Maboya: Nyerere alipoikumbatia Palestine tukaanza kupata misukosuko ya Njaa hatimaye Vita, kila aibarikiye Israel atabarikiwa!

    Sasa hivi baada tu ya Tanzania kupiga kura umoja wa mataifa kuiunga mkono Palestina ! Tayari nzige wameshaingia Tanzania pale Dodoma wanasumbua kinoma, na bado
  5. K

    Elimu: DP WORLD haina Mkataba wowote Tanzania

    Bunge huwa halipelekewi kupisha makubaliano au agano,bali hupitisha mkataba kisha kisheria unakuwa na mamlaka katika nchi, kisha Rais hupata nafasi ya kusaini unatambulika rasmi. Ndugu yangu sasa kama sio mkataba Bungeni ulipelekwa kufanya nn? na Rais anatia saini ili iweje? Ok tuseme sasa...
  6. K

    Festo Sanga awashangaa CHADEMA kutambua ruzuku na kutowatambua Wabunge wanaowapatia ruzuku

    Kumbe hata hujui dola ndiyo ilihusika wao kuwa bungeni? Unadhani bila nguvu ya dola CCM mna nguvu ya kupata kura?
  7. K

    Festo Sanga awashangaa CHADEMA kutambua ruzuku na kutowatambua Wabunge wanaowapatia ruzuku

    Ndiyo maana nasema hao wabunge wote 19 akina mdee siyo wabunge wa majimbo ni wa viti maalum wamepata nafasi hizo kutokana na kura za wananchi waliopigia Chadema. Kwa maneno mengine hizo ruzuku hazitokani na wabunge akina mdee zinatokana na kura za wananchi waliopigia Chadema ko siyo hisani
  8. K

    Festo Sanga awashangaa CHADEMA kutambua ruzuku na kutowatambua Wabunge wanaowapatia ruzuku

    Wewe ndio hujui chochote,na huyo mbunge wako anaongea asichokijua, Wabunge wa viti maalum wanapelekwa na chama hao sio wagombea binafsi kwa hiyo chama ndicho kina nguvu kuliko mtu kumbe hui hata mambo madogo madogo
  9. K

    Festo Sanga awashangaa CHADEMA kutambua ruzuku na kutowatambua Wabunge wanaowapatia ruzuku

    Kura za ubunge za majimbo za chama gani?.kwani hao wabunge wote 19 walikuwa wagombea kwenye majimbo? Chama ndicho kilipata ushindi siyo hao wabunge,hata kama leo wakivuliwa ubunge wao haufanyiki uchaguzi tena ila chama kitateua wa ubunge wengine.Kwa hiyo hizo ruzuku hazitokani na akina mdee
Back
Top Bottom