Unajua msipende ushabiki Wa kijinga, hata km ungekuwa ww Kwenye hiyo familia ya kanumba mambo anayoyapost lulu kwa social media juu ya kesi hii ungekubali kweli? Eti kwakuwa mtoto na anamuonekano mzuri ndio hana makosa? Ukarimu, kujishusha na unyenyekevu ni vitu ambavyo havina gharama, lulu...
Sio kwamba anakupima ameshakugeuza ww ni kitega uchumi chake, ikiwezekana namba yake futa kabisa au badili laini mapema, maana anaweza Kuja kwako huku Analia anaomba msamaha kumbe ana lake jambo maana anajua utamsamehe tu, ila kumbuka na ugonjwa anaweza akaja akakupa pia maana atakuja kwa...
Wanaoiba vitu vidogo tunajifanya kutoa matangazo na kusisitiza ushirikiano, mbona kwa wale wanaoiba na kutunyanyasa kwa haki, uchumi huwa tunakaa kimya? Mm naona.........
Daaah kwa maisha haya, kwann watu wanakwepa ukweli uliopo na wanaapa wenyewe ni wapenzi Wa mungu kwa kuwa wanasema ukweli, sasa huo ukweli ni upi? Unafiki huu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.