Baada ya kura za wajumbe kufanyika waliokosa nafasi za kuwakilisha vyama vyao kwenye uchaguzi wa 10.29.2024 katika ngazi za ubunge na udiwani Kwa Sasa ni muda muafaka wa wao kwenda Veta
Unalinda maslai Yako tu hauna jipya
1.Miradi kadhaa imekwama Mfano ujenzi wa Sgra DODOMA to mwanza imekwama
2.Deni la Taifa linasomeka 107 trillion bdo unaendelea kumtetea mtu kama huyo
3. Ajira hakuna vijana wanaishia kubeti upo una support makampuni Yako ya kubeti angekuwa kiongozi shupavu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.