Huenda ulitapeliwa ada
Mmoja kati ya hao anakodisha kumbi mwingine anaweza kutumia kumbi fulani za pamoja
Mmoja anakodisha magari mengi mwingine anaweza kutumia magari yaliyopo
Rasilimali watu pia zinatofautiana kuna media coverage na mengineyo
Nafkiri nitakuwa nimeustua ubongo wako kidgo
Ai sio google kwanza ni tool ambayo inahitaji upate mafunzo ya namna ya kuitumia ipasavyo. Pili unahitaji kuijui kwa kina kazi unayotaka Ai ikufanyie na uipe miongozo sahihi pia uweze kukagua kazi husika kama iko sawa kama ulivyokusudia . Na ndio maana kutokana na hayo mambo kazi mbili...
Kujijenga ili aende wapi na ndo mtendaji mkuu wa serikali. Au hamjui kwamba hawezi kuwa raisi makamu wa raisi au spika wa bunge kwa cheo hicho alichonacho sasa. Nafikiri anafanya tu kazi yake kutengeneza legacy ila sio kuwa na kusudi lingine. Nawasilisha
Sisi kwetu wakati wa maandalizi ya kwenda kutoa mahali mashangazi wanakuuliza vipi umekuta bado mdogo ukisema umekuta ameshakua kuna vitu vinabadilishwa kwenye ile package ya mahali.
na ndugu zake na mwanamke automatically watajua kwamba mtoto wao amekutwa used na huwa ni aibu kwao kuna baadhi...
Kaka wazungu walitutawala lakini miaka hii ukifanya kazi na wazungu umetoboa hata zile kazi za kutumia nguvu wanajali muda na maslahi ya mtu hao ndugu zetu wengine wanatamani uteseke
Watu wa kubeti hiyo hali ndo inawakuta sana yaani kuna mda kastake 400 ale milioni 50 kichwani anaanza kutafuta hadi kiwanja
Speaking from experience
Mwaka huu nimemuomba Mungu sitaki tena ukamaria in anyway
Mbali na ku unstall application za kubet nime wa unfollow raia wote wanaozungumzia...
Polisi wameacha kutisha watu kwa sababu wameona haiwezekani kutisha watu sasa wanaibuka watu ambao kwa namna moja wanachochea zaidi vurugu ili watu wakiamua kutoandamana waje wajisifie kwani hyo tarehe 29 walikuwa wapi kuzuia walioleta vurugu
Zingatia uliposema baba amekiri kosa alafu linganisha na baba aliyesema nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi tukiwa kwenye mchakato wa kujenga
Mimi pia najua nyasi ndizo zitakazoumia ambao ndo sisi lazima tukubali mtu wa juu ndiye mwenye nafasi ya kutatua hili kwa kukiri kosa na kuwajibika kwani...
Nchi kama venezuela raisi anapewa wiki moja ajiuzulu la sivyo atatolewa jamani tunapozungumza na hao mabeberu tuwe na tahadhari sana
Au ndo ugumu wa kumshauri mtu anayekaribia kutapeliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.