Recent content by kafuta ambele

  1. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    Kujijenga ili aende wapi na ndo mtendaji mkuu wa serikali. Au hamjui kwamba hawezi kuwa raisi makamu wa raisi au spika wa bunge kwa cheo hicho alichonacho sasa. Nafikiri anafanya tu kazi yake kutengeneza legacy ila sio kuwa na kusudi lingine. Nawasilisha
  2. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Magodoro bora na yanayodumu: Ushauri Kati ya QFL, COMFY, VITARAHA, TANFOM, SPRING n.k

    QFL wana ma agent wao kama tanfoam kweli
  3. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    2030 sio mbali sana ule mkeka wa sheikh yahaya bado unapumua ngoja tusicash out
  4. kafuta ambele

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Epuka kumlipia mahari mwanamke uliyekuta hana bikra. (Ndaza)

    Sisi kwetu wakati wa maandalizi ya kwenda kutoa mahali mashangazi wanakuuliza vipi umekuta bado mdogo ukisema umekuta ameshakua kuna vitu vinabadilishwa kwenye ile package ya mahali. na ndugu zake na mwanamke automatically watajua kwamba mtoto wao amekutwa used na huwa ni aibu kwao kuna baadhi...
  5. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Jana nimeenda kuulizia kazi sehemu nimekuta kuchimba msingi elfu 5. Hivi hawa wachina wana akili timamu kweli?

    Kaka wazungu walitutawala lakini miaka hii ukifanya kazi na wazungu umetoboa hata zile kazi za kutumia nguvu wanajali muda na maslahi ya mtu hao ndugu zetu wengine wanatamani uteseke
  6. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Jana nimeenda kuulizia kazi sehemu nimekuta kuchimba msingi elfu 5. Hivi hawa wachina wana akili timamu kweli?

    Si ndo mnasema wanafanya mambo kwa maslahi ya waafrika hao wote si wa kuwachekea
  7. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Kupata hisia au mtazamo wa kuona kitu cha kuvutia (illusion) ukiwa macho kabisa, bila kutumia dawa za kulevya au pombe, ni dalili au tatizo la afya?

    Watu wa kubeti hiyo hali ndo inawakuta sana yaani kuna mda kastake 400 ale milioni 50 kichwani anaanza kutafuta hadi kiwanja Speaking from experience Mwaka huu nimemuomba Mungu sitaki tena ukamaria in anyway Mbali na ku unstall application za kubet nime wa unfollow raia wote wanaozungumzia...
  8. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mabondia watangaza kuwapiga waandamanaji Desemba 9

    Polisi wameacha kutisha watu kwa sababu wameona haiwezekani kutisha watu sasa wanaibuka watu ambao kwa namna moja wanachochea zaidi vurugu ili watu wakiamua kutoandamana waje wajisifie kwani hyo tarehe 29 walikuwa wapi kuzuia walioleta vurugu
  9. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Ina maana gani hasa Mtanzania kufurahia vikwazo vya kimataifa kwa nchi yetu?

    Zingatia uliposema baba amekiri kosa alafu linganisha na baba aliyesema nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi tukiwa kwenye mchakato wa kujenga Mimi pia najua nyasi ndizo zitakazoumia ambao ndo sisi lazima tukubali mtu wa juu ndiye mwenye nafasi ya kutatua hili kwa kukiri kosa na kuwajibika kwani...
  10. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia to Western Countries: Who are You? They think they are still our masters?

    Nchi kama venezuela raisi anapewa wiki moja ajiuzulu la sivyo atatolewa jamani tunapozungumza na hao mabeberu tuwe na tahadhari sana Au ndo ugumu wa kumshauri mtu anayekaribia kutapeliwa
  11. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Mama Polepole: Nirudishieni mwanangu akiwa hai au amekufa, alikuwa mtoto wa kipekee

    Hata wanaoshirikiana na hao watekaji they should know that those people tend to tie the loose ends hivyo at some point watatakiwa na wao kupotea ili kufuta ushahidi Maisha ya huko columbia yanazidi kushika kasi na imekuwa kawaida
  12. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Mliokuwa mnanajisi uhaini sasa mmeupata

    Mistake ilikuwa kwenye TIITHI kuruhusu karibu nusu ya nchi isishiriki uchaguzi joto lazima liwe kubwa sana huwezi kudharau watu wote hao ukasema uko serious na usalama wa taifa
  13. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania GE2025 ‘Kapteni Tesha’ kawapa matumaini hewa

    Nyinyi mnaoendelea kudharau hizi mambo ndo mnazidi kuchochea hali mbaya Kwanza jeshi kukubali kuwa kuna wanajeshi wanaharakati maana yake kuna kitu hakipo sawa kuna mgawanyiko pia lakini pia kutokuwa specific kwa kumkataa yule jamaa pamoja na aliyoyasema kunaleta maswali pia Tuombe haya...
  14. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Hatimaye nimetukanwa sana jambo linatimia sasa

    Mistake ilikuwa ni kudharau jambo la chama kikuu cha upinzani kushiriki uchaguzi which means umedharau karibu nusu ya wananchi kitu ambacho kwenye usalama wa taifa sidhani kama kina afya Ndo mana nchi kama zanzibar wanatumia serikali ya mseto nchi itawalike la sivyo hali ingekuwa mbaya...
  15. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Nilikuwa Msabato, lakini nikaondoka kwa sababu Kanisa halikuwa na athari chanya kwenye jamii na maendeleo. Sikutaka watoto wangu wapitie hivyo.

    Boss uongozi na utajiri una kona nyingi boss ukinyooka huwezi kuvipata hata hayo madhebu mengine sidhani kama wanajivunia matajir na viongozi wote kutoka kwenye makanisa yao
Back
Top Bottom