Kujijenga ili aende wapi na ndo mtendaji mkuu wa serikali. Au hamjui kwamba hawezi kuwa raisi makamu wa raisi au spika wa bunge kwa cheo hicho alichonacho sasa. Nafikiri anafanya tu kazi yake kutengeneza legacy ila sio kuwa na kusudi lingine. Nawasilisha
Sisi kwetu wakati wa maandalizi ya kwenda kutoa mahali mashangazi wanakuuliza vipi umekuta bado mdogo ukisema umekuta ameshakua kuna vitu vinabadilishwa kwenye ile package ya mahali.
na ndugu zake na mwanamke automatically watajua kwamba mtoto wao amekutwa used na huwa ni aibu kwao kuna baadhi...
Kaka wazungu walitutawala lakini miaka hii ukifanya kazi na wazungu umetoboa hata zile kazi za kutumia nguvu wanajali muda na maslahi ya mtu hao ndugu zetu wengine wanatamani uteseke
Watu wa kubeti hiyo hali ndo inawakuta sana yaani kuna mda kastake 400 ale milioni 50 kichwani anaanza kutafuta hadi kiwanja
Speaking from experience
Mwaka huu nimemuomba Mungu sitaki tena ukamaria in anyway
Mbali na ku unstall application za kubet nime wa unfollow raia wote wanaozungumzia...
Polisi wameacha kutisha watu kwa sababu wameona haiwezekani kutisha watu sasa wanaibuka watu ambao kwa namna moja wanachochea zaidi vurugu ili watu wakiamua kutoandamana waje wajisifie kwani hyo tarehe 29 walikuwa wapi kuzuia walioleta vurugu
Zingatia uliposema baba amekiri kosa alafu linganisha na baba aliyesema nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi tukiwa kwenye mchakato wa kujenga
Mimi pia najua nyasi ndizo zitakazoumia ambao ndo sisi lazima tukubali mtu wa juu ndiye mwenye nafasi ya kutatua hili kwa kukiri kosa na kuwajibika kwani...
Nchi kama venezuela raisi anapewa wiki moja ajiuzulu la sivyo atatolewa jamani tunapozungumza na hao mabeberu tuwe na tahadhari sana
Au ndo ugumu wa kumshauri mtu anayekaribia kutapeliwa
Hata wanaoshirikiana na hao watekaji they should know that those people tend to tie the loose ends hivyo at some point watatakiwa na wao kupotea ili kufuta ushahidi
Maisha ya huko columbia yanazidi kushika kasi na imekuwa kawaida
Mistake ilikuwa kwenye TIITHI kuruhusu karibu nusu ya nchi isishiriki uchaguzi joto lazima liwe kubwa sana huwezi kudharau watu wote hao ukasema uko serious na usalama wa taifa
Nyinyi mnaoendelea kudharau hizi mambo ndo mnazidi kuchochea hali mbaya
Kwanza jeshi kukubali kuwa kuna wanajeshi wanaharakati maana yake kuna kitu hakipo sawa kuna mgawanyiko pia lakini pia kutokuwa specific kwa kumkataa yule jamaa pamoja na aliyoyasema kunaleta maswali pia
Tuombe haya...
Mistake ilikuwa ni kudharau jambo la chama kikuu cha upinzani kushiriki uchaguzi which means umedharau karibu nusu ya wananchi kitu ambacho kwenye usalama wa taifa sidhani kama kina afya
Ndo mana nchi kama zanzibar wanatumia serikali ya mseto nchi itawalike la sivyo hali ingekuwa mbaya...
Boss uongozi na utajiri una kona nyingi boss ukinyooka huwezi kuvipata hata hayo madhebu mengine sidhani kama wanajivunia matajir na viongozi wote kutoka kwenye makanisa yao
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.