Recent content by kafuta ambele

  1. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Bikra is Overrated

    0 Kilometre is overrated Usiwe excited na LC 300 zero km kwa sababu itachakaa na itafika milage kubwa pia 😁😁😁 we chizi kweli
  2. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Mambo matatu yanawezekana kuhusu Nchimbi na kauli zake.

    Katika mbinu 1000 za kuendelea kubaki madarakani za ccm wametumia 6 tu ya saba ndo hii mnayoiona mtastukia ilikuwa ni mbinu mwaka 2031
  3. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania KWANINI Mkutano wa Baraza Kuu la CHADEMA utumie gharama kubwa kuliko wa CCM

    Huenda ulitapeliwa ada Mmoja kati ya hao anakodisha kumbi mwingine anaweza kutumia kumbi fulani za pamoja Mmoja anakodisha magari mengi mwingine anaweza kutumia magari yaliyopo Rasilimali watu pia zinatofautiana kuna media coverage na mengineyo Nafkiri nitakuwa nimeustua ubongo wako kidgo
  4. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania MwanaFA azomewa na wananchi baada ya kuanza kusifia Awamu ya 6 kwenye Tamasha la miaka 30 ya Bongo Fleva

    Maridhiano yaanze na hao walioenda pale ukumbini hii hali ikidharauliwa tunaenda pabaya kama taifa lilikuwa limeungana na linavumiliana
  5. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania AI ndi mwisho wetu kama watu

    Ai sio google kwanza ni tool ambayo inahitaji upate mafunzo ya namna ya kuitumia ipasavyo. Pili unahitaji kuijui kwa kina kazi unayotaka Ai ikufanyie na uipe miongozo sahihi pia uweze kukagua kazi husika kama iko sawa kama ulivyokusudia . Na ndio maana kutokana na hayo mambo kazi mbili...
  6. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Mwigulu anatumia matatizo ya wananchi kujijenga kibinafsi ingawa mbinu hii ni zilipendwa! Anatamani matatizo ya watu yawe mengi!

    Kujijenga ili aende wapi na ndo mtendaji mkuu wa serikali. Au hamjui kwamba hawezi kuwa raisi makamu wa raisi au spika wa bunge kwa cheo hicho alichonacho sasa. Nafikiri anafanya tu kazi yake kutengeneza legacy ila sio kuwa na kusudi lingine. Nawasilisha
  7. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Magodoro bora na yanayodumu: Ushauri Kati ya QFL, COMFY, VITARAHA, TANFOM, SPRING n.k

    QFL wana ma agent wao kama tanfoam kweli
  8. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Mbunge Simai: Kuna Yuda Msaliti ndani ya Serikali hili anatafuta huruma kanisani

    2030 sio mbali sana ule mkeka wa sheikh yahaya bado unapumua ngoja tusicash out
  9. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Epuka kumlipia mahari mwanamke uliyekuta hana bikra. (Ndaza)

    Sisi kwetu wakati wa maandalizi ya kwenda kutoa mahali mashangazi wanakuuliza vipi umekuta bado mdogo ukisema umekuta ameshakua kuna vitu vinabadilishwa kwenye ile package ya mahali. na ndugu zake na mwanamke automatically watajua kwamba mtoto wao amekutwa used na huwa ni aibu kwao kuna baadhi...
  10. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Jana nimeenda kuulizia kazi sehemu nimekuta kuchimba msingi elfu 5. Hivi hawa wachina wana akili timamu kweli?

    Kaka wazungu walitutawala lakini miaka hii ukifanya kazi na wazungu umetoboa hata zile kazi za kutumia nguvu wanajali muda na maslahi ya mtu hao ndugu zetu wengine wanatamani uteseke
  11. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Jana nimeenda kuulizia kazi sehemu nimekuta kuchimba msingi elfu 5. Hivi hawa wachina wana akili timamu kweli?

    Si ndo mnasema wanafanya mambo kwa maslahi ya waafrika hao wote si wa kuwachekea
  12. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Kupata hisia au mtazamo wa kuona kitu cha kuvutia (illusion) ukiwa macho kabisa, bila kutumia dawa za kulevya au pombe, ni dalili au tatizo la afya?

    Watu wa kubeti hiyo hali ndo inawakuta sana yaani kuna mda kastake 400 ale milioni 50 kichwani anaanza kutafuta hadi kiwanja Speaking from experience Mwaka huu nimemuomba Mungu sitaki tena ukamaria in anyway Mbali na ku unstall application za kubet nime wa unfollow raia wote wanaozungumzia...
  13. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Mabondia watangaza kuwapiga waandamanaji Desemba 9

    Polisi wameacha kutisha watu kwa sababu wameona haiwezekani kutisha watu sasa wanaibuka watu ambao kwa namna moja wanachochea zaidi vurugu ili watu wakiamua kutoandamana waje wajisifie kwani hyo tarehe 29 walikuwa wapi kuzuia walioleta vurugu
  14. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania Ina maana gani hasa Mtanzania kufurahia vikwazo vya kimataifa kwa nchi yetu?

    Zingatia uliposema baba amekiri kosa alafu linganisha na baba aliyesema nguvu iliyotumika ilikuwa sahihi tukiwa kwenye mchakato wa kujenga Mimi pia najua nyasi ndizo zitakazoumia ambao ndo sisi lazima tukubali mtu wa juu ndiye mwenye nafasi ya kutatua hili kwa kukiri kosa na kuwajibika kwani...
  15. kafuta ambele

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Samia to Western Countries: Who are You? They think they are still our masters?

    Nchi kama venezuela raisi anapewa wiki moja ajiuzulu la sivyo atatolewa jamani tunapozungumza na hao mabeberu tuwe na tahadhari sana Au ndo ugumu wa kumshauri mtu anayekaribia kutapeliwa
Back
Top Bottom