My dada huyo anataka kukuharibia ndo maana ameanzisha visa cha msingi washirikishe kwanza watu wakubwa kama kaka zako wakubwa wajomba na hata wazazi wako kama wapo naamini watatumia busara zaidi kwani wanaweza kumuita huyo mzazi mwenzako na kumshauri zaidi. Lakin ukiendelea kukaa kimya mwisho...
Kuna Msemo unasema kurudia rudia utarudia na mengine nikupe kisa cha kweli kuna rafiki yangu mmoja aliachana na mumewe kwa kisa km chako ,siku zikaenda maisha yalimpiga jamaa kumbe tayari kishaukwaa akaanza kumtafuta mkewe warudiane .
Roho ya mama huyu ilisita sana kurudiana naye aliomba...
Mmmm unacheza na moyo wa mtu bora usingetoa ahadi za kuoa ni neno dogo lakin lina nguvu sana kwa wanaume wengine huwa hawatamki.kuoa. Jifunxe kwa hilo.
Mmm dada wa watu katulia we unachepuka halafu unasema unampenda siku akisafiri miez si ndo utavuta mwingine kabisa. Tena mwalimu ambae ni kioo cha jamii hapo imekula kwako mkuu endelea tu na kamchepuko.
Hayo ni maagano wala usimfunge isipokuwa huwa wanaita michango ya watoto km kusumbuliwa na tumbo hivyo huwa wanampa tu dawa ya kunywa kutok hospitali kwa wengine naona huwa wananunua kwa wamasai lakini siyo kumfunga hyo ni imani potofu
Cha msingi endelea kumuomba mungu azidi kukupa amani ndani ya moyo wako utajikuta umemsahau kabisa km roho yako ni nzito kurudiana naye na umemtoa moyon mwako basi achana naye usije juta tena baadae.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.