Nilitokanazo mbegu ifakara nikaziotesha ktk kitalu hapa ukerewe lakini hazikuota,na kuna miti ya mitiki kanisa LA roman nansio lakini hutopata mitiki iliyojiotea hapo chini.
Majani haya yaitwayo mchunga hupendwa sana kuliwa na sungura kwani ni machungu,japo baadhi ya watu huyatumia kama mboga.je kuna upatikanaji wa mbegu zake katika maduka ya pembejeo?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.