Recent content by Kadela Lufwanka

  1. K

    Jina Jonathan

    Naomba kujua maana ya jina Jonathan
  2. K

    Tanzania ya enzi hizo katika picha

    watu wa zamani walikuwa wastaarabu kuliko sasa, safi sana kwa kuturudisha wakati ule
  3. K

    Kiongozi tunaye mtaka

    Kumekuwa na kasumba kwa viongozi na wanachama wa vyama vya siasa kuhama kutoka chama kimoja na kwenda kingine hususani CCM kwenda CHADEMA. Na wengi wakidai kuwa ndani ya CCM hakuna demokrasia ya kweli na pia kukiukwa kwa katiba ya chama hicho. Kabla ya mchakato wakuwapata wagombea...
  4. K

    UKAWA mbona hamjadili ruzuku zilizochotwa na viongozi wa Chadema zile 2bn?

    acheni magugu yaote pamoja, zikiliwa CCM ni mafisadi lkn upande wa pili tunajenga chama ww ovyo
  5. K

    Lowassa ampinga Warioba serikali tatu

    maneno hayo aliyasema alipokuwa katika chama cha chukua chako mapema (CCM) sasa yuko UKAWA waumini wa serikali 3 nini kauli yake
  6. K

    Siyo lazima kubadilisha chama ili kuleta mabadiliko ya Maendeleo

    majibu yatapatikana tarehe 25 octoba
  7. K

    M/kiti wa UVCCM K/njaro aliyehamia CHADEMA, arudi CCM

    mwanaume mzima kujitangaza kuwa alinunuliwa huo niupuuzi wa hali ya juu
  8. K

    ITV jamani, mmenunuliwa?

    usiwe na haraka mazuri hayahitaji papala na itv siyo ya ukawa bwana
Back
Top Bottom