Recent content by kadefeghe

  1. kadefeghe

    Namna historia ya kwenu inavyoweza kutoa picha ya hatua unazopaswa kupiga kuelekea kwenye mafanikio yako

    Hyu Mtu the code..nahis ametumwa..si Kwa madin hyaa..daah endelea kutufunz mkuu..hzo elim sjui Kwa nn hazifundishwi kiholela
  2. kadefeghe

    Katikati ya mapambano dhidi ya Kipindupindu jijini Mbeya, hakuna maji

    Tuachen masihara kwenye vit serious bas..yaan from no where mke wake amwambie ivoo.kwel..mm mitaa anayokaa naikuaa nami naish hkow..ni kwel maji yanasumbua kitaa hki..tunaomba mamlaka zitusaidie.maana khali n mbaya
  3. kadefeghe

    Mohammed 'Mo' Dewji ametelekeza mashamba ya chai Rungwe, ajira zatoweka

    Sidhan kama serikal haijui..bas Tu serikal zetu ndo shida..Ilaa pia nadhan pia next time nivizur kuadress kampuni kuliko jina la Mtu
  4. kadefeghe

    Mambo gani umejifunza 2024?

    Nmejifunzaa n rahisi kuach sigara kuliko pombe...especially ukiwa kwenye ndoaa...kuna namna pombe inasaidiaa kulala usku..ilaa piaan nmejifunzaa piaa inaezekana kuacha kushabikia mamipiraa kihivyo..watu wako kumake money with our stupidty..kwenye siasaa ndo nmeumia TL ndo yko vile..naaachaa...
  5. kadefeghe

    Mambo yatakayofanya uitwe mshamba

    Iyo namba 6 n mm kabsaa..tumweumbwa tofauti Sanaa aisee
  6. kadefeghe

    Wazee wa International Flights sogea hapa unaweza saidia kwa wazo lako

    Unamiliki simu na unaeza kudownload Jf..unashindwa hta kugoogle?usituchoshe..ila m ush
  7. kadefeghe

    Ni kitu gani kinakufanya ujue “Restaurant” bei yake sio za kitoto

    Hahahaha..nmechekaa sn as wiki Moja ilopita nlikua Sehem kama hzo..muziki classic speaker huon..wifi wanakupa.wateja wachache n hakuna bodabda nje...nlipang kupiga biaa 1 ya pili nkauliza bei..kumbe tofauti n mia 5 tu..daah..nlienjoy sna kwa kweli...sometyms hutakiw kuogopaa ulizaaa kwnz
  8. kadefeghe

    Kila mwanamke wa kisasa ana ndoto ya kupitia stage hii

    Hahahah....iyo stagee kavu sana....stage ya kujifanya kilaa simu latest anayo..af na ziile kilaa Sehem nzur anayoendaa kupiga picha!unesahau na kufatiliaa vitamthilia uchwaraa vyaa saa 3 usiku vile
  9. kadefeghe

    Ghafla nimemkumbuka Kitwanga,waziri wa mambo ya ndani mstaafu

    Hahaha,mdau umenikumbushaa mhesh..mwijagee..viwandaa na biasharaa...dooh maishaa yanaendaa Kasi sana
  10. kadefeghe

    Huenda hii ndiyo ajali mbaya zaidi ya mwendesha bodaboda nchini 2024

    Kama n kweli hii n bonge mojaa la pichaa..Kama ngao ya cruiser imepigwa ivo daah..Ila R.I.P alotangulia
  11. kadefeghe

    Doto Magari atembelea mradi wake wa kufuga nguruwe wa million sabini Dodoma. Na kila nguruwe chakula kwa siku laki 3.

    Walikuepo wengi wakapitaa..wakina liquid,mandongaa na sasaa yeye..cha muhimu atumie fursaa vizur ss wabongo tunawachoka watu mapemaa sana..ila ajitahd ajifunze kiingerezaa kdogo na jografiaa kdogo itamsaidia
  12. kadefeghe

    Waliowahi kupotelewa na ndugu au mtu wa karibu mje mtupe experience

    Daaah acha hyo feeling..kuombwa msamaha na mzazi@mnajikuta wotee mnalia kama msiba
  13. kadefeghe

    Msemaji Mkuu wa Serikali: Pato la kila Mtanzania ni Tsh. 3,048,681

    Daah kunaa times hata tusi la kumchagulia mtu unashindwa yan!ilaa poaa fresh
Back
Top Bottom