ALIVYOTUMBULIWA KITWANGA NKASEMA KAMA MAGUFULI AMEMTUMBUA HADI SWAHBA WAKE WA KARIBU BASI TUMEPATA RAIS.. NKASEMA YEYOTE ATAKAYEKUWA MZEMBE ATATUMBULIWA......
Kumbe Imekuwa Tofauti.
Wasukuma wenyewe wa asili hata wanyantuzu hawana tabia za ukatili kama wa huyo rafiki yake naanza kuamini mijadala ya JF kuwa huenda ni raia wa RwandaKipindi akiwa waziri wa mambo ya ndani,nchi ilikuwa shwari kabisa, Ongea yake kama mlevi ilimponza,lakn ndivyo alivyo,,popote alipo mbunge huyu,mwambieni mimi Pazia 3 nimemkumbuka,uongozi siyo majigambo!!