Mwl wa sekondari nipo Nzega mjini natafuta mwl wa kubadilishana nae kutoka MOROGORO WILAYA YOYOTE, SENGEREMA, MISUNGWI,GEITA, NGARA, KATAVI, KASULU. 0762741669
kwa sasa hata ualimu unaweza soma usipate ajira serikalini kwa haraka; matokeo yanatoka baada ya miezi 6, ajira baada ya mwaka, ongeza miaka2 ya diploma na mingine uliyokua chuo na mtaani. Kama ni ualimu nakushauri tumia cheti cha form6, tafuta ajira ya muda upate japo pesa kidogo huku...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.