Kuna siku nami ilinitokea hivyo nikawapigia na kukuta ni kweli niliwahi kukopa bila kujijua. unaweza kuwa unachezea simu na kujikuta umekopa au kwa kusikiliza maelezo na wewe kufinya na kujikuta umekopa. tatizo lao hawakati kwa mara moja
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.