Recent content by kackregery

  1. K

    Ni kwa jinsi gani Katiba Mpya inaweza kushusha bei za vyakula?

    Wewe nae ni G.O.A.T! wa kikweli kweli.
  2. K

    CHADEMA mkitaka kupata kura 2025 acheni kauli za chuki kwa JPM

    Labda alikuwa kipenzi chako ww
  3. K

    CHADEMA walililia sana Uraia pacha kumbe Wana mengi mioyoni mwao!

    Wajaluo ndo watu gani? Au unamaanisha "waluo?"
  4. K

    Serikali yapunguza riba ya mikopo

    Hakuna kitu kama hicho, riba bado ni 18%
  5. K

    Kwa aina hii ya Watanzania CCM inaweza tawala miaka 5000 ijayo

    Hata ccm ni mkusanyiko wa wezi, mafisafi, na wavivu wa kufikiri kuwa kazi ndo msingi wa maisha. Acheni uchawa, na kusifia ili mpate vyeo.
  6. K

    Ficheni ila wenye Watu wetu ndani ya Yanga SC wametuambia kuwa hizi ndizo sababu za Senzo Mbatha Kuwakataa

    Naona ulikuwa unayaandika haya wakati ukisubiria ugali ambao haujatolea jasho.
  7. K

    Jenerali Ulimwengu ni mtu Hatari sana kwa Ustawi wa Taifa Staarabu. Ana Uhatari Mkubwa katika kauli zake

    Hata wewe unadhani Una akili kumbe bogus, nyie ndo mliohamishia akili tumboni.
  8. K

    Wenye Shahada wanaruhusiwa kuomba nafasi za kazi za Utendaji wa Mitaa na Vijiji

    Uongo uongo uongo!! Nani kakudanganya? Mf. Umemaliza fm4 ukaenda kusoma dipl ya civil eng. Wenzako wakaenda adv 2yrs. Wakija civil eng. degree watakukuta uko mwaka wa 3 ambayoni Ntalevl6. Ukiimaliza ukaunga degree utaanzia ntalevl7 ambapo utawakuta waliotoka Adv wako mwaka wa pili. Unasoma...
  9. K

    Swali mkutano mmoja ni shiling ngapi?

    Inategemea ni wa chama gani! Vyama vinatofautiana ktk staili ya ushawishi, mfano: 1. kusafirisha wasikilizaji kwenye kampeni. 2. kutoa rushwa kwa wasikilizaji wa kampeni. 3. Kuonga wasanii ili wasikilizaji waje kwa wingi. 4. kuwa na wapambe kibao wa kuporomosha matusi kabla ya mgombea kunadi...
Back
Top Bottom